dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,456
- 7,418
alafu napiga simu hupokei mbona?The best are yet to come
alafu napiga simu hupokei mbona?The best are yet to come
Muda wote nipo na simualafu napiga simu hupokei mbona?
Sio lazima nidisclose ID yangu nyingine hapa, what if nikila block tena
mkuu wewe ndio huku-consider upande wa pili wakati unaanzisha huu uzi! kama hukutaka Mtende akwazike basi ungekaa na mafeeling yako huko na sio kuja kujimwaga hapa jf........Hofu yangu ni kwamba huyu dada ni mke wa mtu na alishaweka wazi wapa jukwaani na anaonekana ni mtu ambae yupo commited kwenye ndoa yake,kitendo cha yeye kuupotezea tu huu uzi basi si sign tosha kwamba amepuuza na hana muda
Wachangiaji hapa kila mtu anaongea analojisikia pasipo kuconsider upande wa pili wa muhusika, wengine wanamvunjia heshima ilhali yeye amekaa kimya na wengine wanaongea mambo ambayo hayapo
Mimi binafsi sikuanzisha huu uzi kwa lengo hilo bali kwa lengo la kuwatakia wale tunaowacrush heri ya siku ya wanawake
Unadhani ni sahihi huu uzi kuendelea kuwepo?
Muda wote nipo na simu
Sijaona call yako yoyote.
Au umekosea namba?
Acha upuuzi basi jombaaa, kwa hiyo unataka awe na character za kilevi kama za kwako?
😂😂😂😂Anaanzaje, sana sana ataripoti kwa mods tu kwamba kakosewa heshima... yupo siriazi sana na haya maisha utafikiri ni yake!
Poleee sana vumiliaaHawezi kuja, naogopa asije akaanzisha uzi kuwaomba mods waufute huu uzi hapa, najisikia vibaya natamani niwaombe mods waufute maana nahisi amekwazika, hajapay attention at all
Jamaaaaaaniiii Chakorii tangia lini mimi nikawa mbabu? Sasa mbona haukuwahi kuniambia kama unani-feel namna hii?Hata usinipe pole mkuu..hiyo hali nilishaikataaga kitambo na mwamba alitoka kwenye Mishipa yangu ya damu.
Mpaka sasa hajawahi kujua na hatokuja kujua....usikute ni mbabu wa watu hukoo😀😃😃🤔🤔🤔🤔
ipo humu toka 2017Hii ndo ID yako nyingine uliyosema huwa unaitumia kumfatilia baada ya kukupiga block?