My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Hofu yangu ni kwamba huyu dada ni mke wa mtu na alishaweka wazi wapa jukwaani na anaonekana ni mtu ambae yupo commited kwenye ndoa yake,kitendo cha yeye kuupotezea tu huu uzi basi si sign tosha kwamba amepuuza na hana muda

Wachangiaji hapa kila mtu anaongea analojisikia pasipo kuconsider upande wa pili wa muhusika, wengine wanamvunjia heshima ilhali yeye amekaa kimya na wengine wanaongea mambo ambayo hayapo

Mimi binafsi sikuanzisha huu uzi kwa lengo hilo bali kwa lengo la kuwatakia wale tunaowacrush heri ya siku ya wanawake

Unadhani ni sahihi huu uzi kuendelea kuwepo?
mkuu wewe ndio huku-consider upande wa pili wakati unaanzisha huu uzi! kama hukutaka Mtende akwazike basi ungekaa na mafeeling yako huko na sio kuja kujimwaga hapa jf........
 
mkuu wewe ndio huku-consider upande wa pili wakati unaanzisha huu uzi! kama hukutaka Mtende akwazike basi ungekaa na mafeeling yako huko na sio kuja kujimwaga hapa jf........
Nakubali kubeba lawama zote mkuu, ili kuepuka mengi zaidi naomba tu Moderator wanisaidie kuufutilia mbali huu uzi
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom