Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,598
- 235,466
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha haya kazia hapohapo
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha haya kazia hapohapo
Nilihisi huna hisia na wanaumeKhaa wakati mwenzako najiona nina matani mengi! Nimegundua humu jf watu serious sana ndiyo wanaopendwa kama huyo crush wa mtoa mada umeshaambiwa ni mtu serious na hazoeleki kirahisi!
Binafsi hata mimi mtu ninayemcrush humu huwa yuko serious sana! Yaani hata akiniquote huwa najifikiria mara mbili mbili niandike nini kabla sijamjibu maana naogopa naweza nikaandika pumba nikamkwaza!
Kwahiyo ina maana mimi nilivyotoa hint Nimeshaharibu siyoMimi nikimtaja mjadala unafungwa..
Sitamani uzi upoe,wacha uwe Moto hivihivi [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Mimi nimemfahamu, nauza jina kwa 10,000 tu wakuu, kumbe hata nilikuwa na interact nae!
Thats the probelem brotherNimeshamjua na nimeshafungua code kwa watakaoelewa wataelewa! Kama ni huyo hata hauwezi amini the moment namaliza kusoma uzi wako id iliyonijia kichwani ya kwanza ni yake maana binafsi hata mimi namkubali sana ila ndiyo kama ulivyosema hazoeleki kirahisi!
Mmmmmmhhmmh!!!Hahaa ana bahati ya ...... (kama id yake)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uzi ulifutwa fasta kabla sijascreenshot
Ila aliandika"Debe tupu"[emoji1787]
MtendeItakua vizuri na itakua mwisho wa mjadala huu
Umeona eenh! Hata mimi kuna wakati huwa nahisi haya makelele yangu mengi ndiyo yananiponza yanafanya watu wananionaje sijui kumbe masikini wangejua hizi ni confidence za nyuma ya keyboard tu!Dah jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Sema mimi najijua shida yangu inayonikosesha picha ni maneno mengi hapa jukwaani.
Ila ungeniona nilivyo yaani ungenitumia tena zoote na za watoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa ukichanganya na comments zilizokuwepo pale yaani nilicheka Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Woyooooo thread closed! Kama ni huyo hongera mkuu yuko vizuri tena hata juzi alikuwa anacomment kule kwenye uzi wa mwanaume kumpiga mke wake na alikuwa anashusha nondo hatari kama kawaida yake!She is the one
Mimi mtu akiniona live anaweza abishe kabisa kama mimi ndiyeUmeona eenh! Hata mimi kuna wakati huwa nahisi haya makelele yangu mengi ndiyo yananiponza yanafanya watu wananionaje sijui kumbe masikini wangejua hizi ni confidence za nyuma ya keyboard tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilihisi huna hisia na wanaume
Asante kwa kumtaja, ni Mtende sijui what is happening to me ila nampenda sana huyu dada, mbinu zangu zote zimegomaMtende
Nishajiropokea mweee [emoji134][emoji134][emoji2098]
Dooh mimi Sister mkuuThats the probelem brother
Dogo nakushukuru sana..Hahaa ana bahati ya ...... (kama id yake)
Ona sasaDooh mimi Sister mkuu