Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,584
- 235,438
Nimesanda hapa[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nimwachie mkali wa hizi kazi Saint Anne
Nimesanda hapa[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nimwachie mkali wa hizi kazi Saint Anne
Kama wewe tu ambavyo huwezi kuotea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata Yeye hapa amesanda hatakaa apate
Mdogo wangu unatafuta fimbo,ngoja nikukamate!Mimi na CCM wapi ma wapi!😄😄😄[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini mbona ana crush wake yule
Humjui nikutajie??
Ni Behaviourist
Alifunguliwaga hadi uzi,sema mods walipita nao dk chache tu baadaye [emoji23][emoji23]
Unatafuta fimbo,mimi na CCM wapi na wapi!😄😄😄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wanajuana vizuri kwenye majukwaa yao[emoji1787]
Natamani hi ingekuwa couple aisee
Behaviourist Kaka Mdee,hebu njoo useme neno[emoji2960]
Nakumbuka comment yako katika debe tupu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mdogo wangu unatafuta fimbo,ngoja nikukamate!Mimi na CCM wapi ma wapi![emoji1][emoji1][emoji1]
Yes na yeye anaonekana ni mwembamba halafu mrefu! Kwa mbali ana katabia fulani hivi ka kujisikia yaani huwa hachangamani na watu hovyo na wala sijawahi ona anatukanana na mtu yeyote humu!Mweee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo akasema anapenda wembamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi nimeshindwa kubet
Utanitajia tu mwenyewe [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wewe tu ambavyo huwezi kuotea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuambizane tu jamani
Duh aiseeeYes na yeye anaonekana ni mwembamba halafu mrefu! Kwa mbali ana katabia fulani hivi ka kujisikia yaani huwa hachangamani na watu hovyo na wala sijawahi ona anatukanana na mtu yeyote humu!
Si unitaje tu na wewe.. Acha kuwachosha warembo hao hahahahahaYes na yeye anaonekana ni mwembamba halafu mrefu! Kwa mbali ana katabia fulani hivi ka kujisikia yaani huwa hachangamani na watu hovyo na wala sijawahi ona anatukanana na mtu yeyote humu!
Nilianza mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itabidi tuambiane tu kwa kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Si unitaje tu na wewe.. Acha kuwachosha warembo hao hahahahaha
...........and finally my damned Demi is here again!🤗🤗🤗Ni mimi
huyu chalii anaitwa chaliifranceYes na yeye anaonekana ni mwembamba halafu mrefu! Kwa mbali ana katabia fulani hivi ka kujisikia yaani huwa hachangamani na watu hovyo na wala sijawahi ona anatukanana na mtu yeyote humu!
Najua atanikana but deep inside kuna kitu kinamwambia muelewe huyu kaka...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Bado mapema kwa mwanaume kwenda nyumbani, si unajua jioni viti virefu kupeana madili...
Tangu uanze kwenda ni madili mangapi umeyapata babe? Isije ikawa mie mke wa Bkhresa Eli ila sijui[emoji2297]Bado mapema kwa mwanaume kwenda nyumbani, si unajua jioni viti virefu kupeana madili...
@Espy niseme ama unatuma muamala huku?Niambie nani alikuwa akiniibia Vale!