My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Sijui huwa anawazaga nini yaani.
Huwa nafikiria sipati majibu.

Kuna uzi alifunguliwa,Title ilikuwa"neno moja kwake..."
Nilicheka almanusura nizimie[emoji1787][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama naona walivyomponda
 
Angalizo:

Kwa vile umependa mwandiko wake inabidi uendelee hivyo hivyo tu na hisia za kufikirika, raha unayopata inakutosha sana.

Usiombe siku umuone, huenda utakuwa disappointed sana... watu wazima na smart kama hao wengi wao thamani yao ipo kichwani na si mwonekano na matamanio.

Thank me later.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama naona walivyomponda
Yote Tisa
Kumi,Funga kazi comment ya behaviourist..
Nilicheka nikataka nidondoke njiani[emoji1787][emoji119]
 
Angalizo:

Kwa vile umependa mwandiko wake inabidi uendelee hivyo hivyo tu na hisia za kufikirika, raha unayopata inakutosha sana.

Usiombe siku umuone, huenda utakuwa disappointed sana... watu wazima na smart kama hao wengi wao thamani yao ipo kichwani na si mwonekano na matamanio.

Thank me later.
Acha wivu, sio mtu mzima, i can gues labda she in around 32 au 33, kuna mahaki niliona ameandika alimaliza chuo 2011 kwa hiyo nahisi sio mtu mzima sema tu bahati ilimfondokea akaolewa mapema na kuoata watoti mapema, natamani hata ningemuoa mimi na kumzalisha
 
Mmmh ww unatisha bana. Uko serious sana.[emoji1787][emoji1787]
Khaa wakati mwenzako najiona nina matani mengi! Nimegundua humu jf watu serious sana ndiyo wanaopendwa kama huyo crush wa mtoa mada umeshaambiwa ni mtu serious na hazoeleki kirahisi!

Binafsi hata mimi mtu ninayemcrush humu huwa yuko serious sana! Yaani hata akiniquote huwa najifikiria mara mbili mbili niandike nini kabla sijamjibu maana naogopa naweza nikaandika pumba nikamkwaza!
 
Nimekuruhusu mtakatifu umtaje..hapo nitagundua kuwa kweli wewe ni mtakatifu.

Hiyo siri ni mimi na baba wa mbinguni tuijuaye
Simtaji ila nina uhakika ni yeye..
Na kuna I'd fulani ya mwaka jana nadhani ni yake japo yeye hajui kama naijua na wewe nadhani huijui.

Ngoja niendelee kuweka sawa rada zangu kichwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom