My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Pole sana, a similar situation, the woman is so proud of his husband and the kids mpaka naogopa naingiaje
Mkuu

Kama unampenda kiasi hiki sioni kwanini unataka kuharibu mahusiano yake.

Ama unadhani akiingia kwenye mahusiano na wewe mambo yatabaki kuwa sawa kwenye ndoa yake?

Kama unao upendo wa kweli basi mwache aende zake.

Siku zote fahamu hili, sio kila situations kwenye maisha yako unatakiwa ku react.

Nyingine ziache zipite tu
 
Na wengine muwataje crush zenu jamani[emoji2960]
Aiseee mimi nikimtaja hapa nahisi hali ya hewa itachafuka! Maana kwanza hata yeye mwenyewe hanikubali wala nini ananionaga mizinguo tu!

Huwa tunaquotiana mara moja moja kwenye uzi wake fulani hivi! Ila kwenye mada kama hizi za haki sawa huwa hanikubali na alishaniponda mara kadhaa!

Hii code kwa atakayeweza kuicrack wallahi nampa hela maana sijawahi kuonesha kama namkubali! Lakini mind you nimesema siyo kimapenzi namkubali tu kama rafiki na kaka!

Tofauti kati ya mimi na wengi ni kwamba wengi wanaanza kuwacrush watu then as time goes wanaanza kuwaona wa kawaida! Ila mimi huyu nilianza kumuona wa kawaida ila as time goes ndiyo nikaanzaga kumcrush!
 
Aiseee mimi nikimtaja hapa nahisi hali ya hewa itachafuka! Maana kwanza hata yeye mwenyewe hanikubali wala nini ananionaga mizinguo tu!

Huwa tunaquotiana mara moja moja kwenye uzi wake fulani hivi! Ila kwenye mada kama hizi za haki sawa huwa hanikubali na alishaniponda mara kadhaa!

Hii code kwa atakayeweza kuicrack wallahi nampa hela maana sijawahi kuonesha kama namkubali! Lakini mind you nimesema siyo kimapenzi namkubali tu kama rafiki na kaka!

Tofauti kati ya mimi na wengi ni kwamba wengi wanaanza kuwacrush watu then as time goes wanaanza kuwaona wa kawaida! Ila mimi huyu nilianza kumuona wa kawaida ila as time goes ndiyo nikaanzaga kumcrush!
Yesu wangu!
Asiwe tu ninayemfikiria[emoji40]
Simkubali[emoji19]
Jina lake hapa lina initial sawa na lile jina langu halisi???


Mimi wangu sijui ni jini yule [emoji848] ,hata mimi sielewi yaani[emoji86] matendo yake ya kijeshi sio jeshi,jini siyo jini hadi nikaogopa
Hayo ni matendo ya id tu
Nilitokea kumkubali sana aiseee..sijui hata kwa nini.
Nitaendelea..ngoja nile ugali nipate nguvu.
Mimi tofauti na wewe,nilimkubali ile siyo ya kaka..kaka wananitosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani hapa umbea ulivyonikaba jamani,

Mtakatifu unasema makaka wamekutosha mweeeeeeh [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee mimi nikimtaja hapa nahisi hali ya hewa itachafuka! Maana kwanza hata yeye mwenyewe hanikubali wala nini ananionaga mizinguo tu!

Huwa tunaquotiana mara moja moja kwenye uzi wake fulani hivi! Ila kwenye mada kama hizi za haki sawa huwa hanikubali na alishaniponda mara kadhaa!

Hii code kwa atakayeweza kuicrack wallahi nampa hela maana sijawahi kuonesha kama namkubali! Lakini mind you nimesema siyo kimapenzi namkubali tu kama rafiki na kaka!

Tofauti kati ya mimi na wengi ni kwamba wengi wanaanza kuwacrush watu then as time goes wanaanza kuwaona wa kawaida! Ila mimi huyu nilianza kumuona wa kawaida ila as time goes ndiyo nikaanzaga kumcrush!
Yesu wangu!
Asiwe tu ninayemfikiria[emoji40]
Simkubali[emoji19]
Jina lake hapa lina initial sawa na lile jina langu halisi???


Mimi wangu sijui ni jini yule [emoji848] ,hata mimi sielewi yaani[emoji86] matendo yake ya kijeshi sio jeshi,jini siyo jini hadi nikaogopa
Hayo ni matendo ya id tu
Nilitokea kumkubali sana aiseee..sijui hata kwa nini.
Nitaendelea..ngoja nile ugali nipate nguvu.
Mimi tofauti na wewe,nilimkubali ile siyo ya kaka..kaka wananitosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yesu wangu!
Asiwe tu ninayemfikiria[emoji40]
Simkubali[emoji19]
Jina lake hapa lina initial sawa na lile jina langu halisi???


Mimi wangu sijui ni jini yule [emoji848] ,hata mimi sielewi yaani[emoji86] matendo yake ya kijeshi sio jeshi,jini siyo jini hadi nikaogopa
Hayo ni matendo ya id tu
Nilitokea kumkubali sana aiseee..sijui hata kwa nini.
Nitaendelea..ngoja nile ugali nipate nguvu.
Mimi tofauti na wewe,nilimkubali ile siyo ya kaka..kaka wananitosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uwii initial ya jina lako halisi? Mbona sina mwanaume ninayemkubali humu anayeanzia na hiyo initial?

Mimi ni initial nyingine tu! Yaani nakuambia hakuna atakayeweza kuotea hata initial na hata mkimjua wote mtabaki midomo wazi!

Mimi kwa kweli sina makaka! Hivyo mwanaume yeyote nitakayemuambia namkubali humu ajue tu kuwa namkubali kama kaka!

Hebu kwanza na Wewe niambie huyo wako anaanzia na initial gani
 
Mkuu

Kama unampenda kiasi hiki sioni kwanini unataka kuharibu mahusiano yake.

Ama unadhani akiingia kwenye mahusiano na wewe mambo yatabaki kuwa sawa kwenye ndoa yake?

Kama unao upendo wa kweli basi mwache aende zake.

Siku zote fahamu hili, sio kila situations kwenye maisha yako unatakiwa ku react.

Nyingine ziache zipite tu
Asante kwa ushauri
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom