My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Mkuu uache tu uzi waaiufunge
Watu tunaendelea kutaja akina crush wetu.
Nilitamani kuuache ila wadau wengi wamekuja PM waneshauri niombe mods waufute ukizingatia kwamba muhusika mwenyewe hajatia timu hapa mpaka sasa na amenipiga block, inawezekana huu uzi ukazidi kumkwaza, na mimi naona ni vyema nikawaomba mods waufute ili kuepuka kumkwaza muhusika
 
Nilitamani kuuache ila wadau wengi wamekuja PM waneshauri niombe mods waufute ukizingatia kwamba muhusika mwenyewe hajatia timu hapa mpaka sasa na amenipiga block, inawezekana huu uzi ukazidi kumkwaza, na mimi naona ni vyema nikawaomba mods waufute ili kuepuka kumkwaza muhusika
Uache tu mkuu
Unajua mawazo hayafanani kila siku,
Leo naweza nikaona kitu nikakwazika lakini kesho nikakifurahia kitu hichohicho.
 
Sijui hata ni nani mwee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataja watu ambao hata siwajui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu mtaje aisee
 
Mimi nilikuwa out kabisa. Nilikuwa nafikiri ni Mnyaki mwenzio mama mchungaji Heaven Sent. Ingekuwa ni mkeka ningepigwa [emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi kilichofanya nisimfikirie Heaven Sent ni pale aliposema kwamba the woman yuko serious. Hainteract sana na watu na hauwezi kumkuta kwenye nyuzi zenye matani mengi.

Nimeshazoea HS wangu kwenye baadhi ya nyuzi za matani yupo sana tu anachangiaga na huwa anainteract sana na watu. Lakini zile sifa nyingine zote sasa ndiyo zinaendana na za HS.
 
Mimi kilichofanya nisimfikirie Heaven Sent ni pale aliposema kwamba the woman yuko serious. Hainteract sana na watu na hauwezi kumkuta kwenye nyuzi zenye matani mengi.

Nimeshazoea HS wangu kwenye baadhi ya nyuzi za matani yupo sana tu anachangiaga na huwa anainteract sana na watu. Lakini zile sifa nyingine zote sasa ndiyo zinaendana na za HS.
Siku na mimi naingia jf nakuta uzi na sifa kedekede
Huyu kaka ni mtaratibu,mnywa pombe nyingii lakini hagombani na mtu,n.k nitafurahi sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku na mimi naingia jf nakuta uzi na sifa kedekede
Huyu kaka ni mtaratibu,mnywa pombe nyingii lakini hagombani na mtu,n.k nitafurahi sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Uanzishiwe mara ngapi na wewe kwani
ule ulioanzishiwaga hautoshi? Tatizo lako sijui unataka wanawake wote wa jf wakuanzishie nyuzi! [emoji23][emoji23] [emoji3][emoji3]
 
Sky Eclat umeshampiga chini umehamia kwa Depal? Makubwa [emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo ndipo unapopotea njia sasa. Depal ni mjukuu wetu. Mimi na bibi yake Sky Eclat tunajua mjukuu wetu ana wito wa utawa. Sasa mimi kama babu nasubiria nione kidudu mtu kinachomzimikia ili nikitengeneze...

Kama ulikuwa na akili za kimapepo, basi mimi nakemea, rudi nyuma shetani....
 
Nilitamani kuuache ila wadau wengi wamekuja PM waneshauri niombe mods waufute ukizingatia kwamba muhusika mwenyewe hajatia timu hapa mpaka sasa na amenipiga block, inawezekana huu uzi ukazidi kumkwaza, na mimi naona ni vyema nikawaomba mods waufute ili kuepuka kumkwaza muhusika
Ni kweli lakini. Mhusika anaweza kukwazika. Nimeshaona wengi wakianzishiwa nyuzi za aina hii hukwazika na mwishowe nyuzi hufutwa. Tena wa kwako huu umewaka moto watu wanajiachia kweli kweli. Mods wauache tu hakuna neno na mhusika pengine atajitokeza kutia neno. Ila kama na mumewe yumo humu na akaona uzi kama huu bila shaka hatafurahi. Cha muhimu tu nawe umeutua mzigo uliokuwa nao.
 
kumbe JF ina mambo makubwa namna hii aiseee? unampenda vipi mtu kupitia maandishi yake? interesting.....


wakati namalizia kusoma uzi basi nikajua mhusika ni Heaven Sent ,japo sasa yeye hajawahi kuongelea mambo ya ndoa na familia humu ndani....
Kumbe tulikuwa wengi tuliofikiri Heaven Sent ndiye mhusika. Ungekuwa mkeka tungepigwa balaa !!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom