My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
R...[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi Tufanye L
..
Dah nilikaa nikafikiria weee
Leo sasa nimegundua kumbe ulikuwa unamaanisha Hawa watu.

Huyo wa mwanzo mweee hata kafeeling ka bahati mbaya hakajawahi kunijia..
Halafu mbona kiingereza anajua,japo English yake siikubaligi tu sijui kwanini.

Huyu wa pili,dada dada nimekuona una utani na maisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kuna kijana anatema kingereza kilichoenda shule kama yeye?
Jamaa gazeti zima anamwaga ung'eng'e hadi natembea na dikshenari[emoji86]
...
Hao wote hawaendani na maelezo niliyotoa,
Maelezo yangu nilisema anapenda kuchanganya lugha.
Hata kasentensi kawe kafupi ila lazima achanganye na bado anatoa ka broken Safi
 
Hatimaye nimeshamjua baada ya tafiti ya wiki mzima oooppss nimefanikiwa kumjua huyo mtoa mada aliyekuwa anamzungumzia kwenye uzi wake
Now acha nikusanye vitendea Kazi vyangu map shit, dictionary, four figure, compas direction , fundamental theorem of calculus nimevitumia katika kumtafuta Huyu super women's wa jf .Naweza funga uzi sasa already gain what I want in peace and safe........sijui nimtaje ...
IMG-20210307-WA0004.jpg
 
Hizi mentions zimenitoa mbio huku, nikajua kuna mpendwa kani-crush mweeh[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Mimi kilichofanya nisimfikirie Heaven Sent ni pale aliposema kwamba the woman yuko serious. Hainteract sana na watu na hauwezi kumkuta kwenye nyuzi zenye matani mengi.

Nimeshazoea HS wangu kwenye baadhi ya nyuzi za matani yupo sana tu anachangiaga na huwa anainteract sana na watu. Lakini zile sifa nyingine zote sasa ndiyo zinaendana na za HS.
kumbe JF ina mambo makubwa namna hii aiseee? unampenda vipi mtu kupitia maandishi yake? interesting.....


wakati namalizia kusoma uzi basi nikajua mhusika ni Heaven Sent ,japo sasa yeye hajawahi kuongelea mambo ya ndoa na familia humu ndani....
Kumbe tulikuwa wengi tuliofikiri Heaven Sent ndiye mhusika. Ungekuwa mkeka tungepigwa balaa !!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom