My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Roho yangu inamdondokea sana jimama Quetzal, navutiwa na 'ujuaji' yake japo bado kuna mizani hajaenea sababu nahisi malezi.

Ngoja kwanza asijue kupita hapa akaanza kuvimba.

Saint Anne kaa kaa kwa kutulia ulinikataa kwa ile ID nyingine, kaa mguu sawa soon nitaleta uzi hapa.
 
Duh aiseee
Nitachosha ubongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Yule wangu yeye anabishanaga na watu,
Majukwaa yote yupo ila si sana..
Huwa hatabiriki,kuna muda anakuwa upande wa serikali,kuna muda anaiponda.

Anapendaga kuchanganya kiingereza na kiswahili japo hata akichanganya bado anatoa broken English.
Mmhh mbona Kama nishamjua [emoji16][emoji16] [emoji41][emoji41]
 
Roho yangu inamdondokea sana jimama Quetzal, navutiwa na 'ujuaji' yake japo bado kuna mizani hajaenea sababu nahisi malezi.

Ngoja kwanza asijue kupita hapa akaanza kuvimba.

Saint Anne kaa kaa kwa kutulia ulinikataa kwa ile ID nyingine, kaa mguu sawa soon nitaleta uzi hapa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ID gani boss?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom