Malume
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,014
- 1,886
- Thread starter
- #681
Nimekuelewa kamanda wanguKwa hiyo baada ya kumjua, nini kinafuata...tumuombee Malume apate kibali kwa sista au tumuachie apambane kivyake?
Mzee baba kama tu PM umekosa kibali, achana na hizo mambo...pigania mengine, maisha yana mambo mengi huwezi kulalia kitu kimoja miaka yote hiyo.
Wanasema sio fungu lako.