TANZIA Mwana-JamiiForums, Thadei Ole Mushi afariki dunia

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,520
86,074
MwanaCCM na MwanaJF Thadei Ole Mushi amefariki dunia.

Ole Mushi alikuwa anaugua kwa muda mrefu.

Thadei amefariki duniani asubuhi hii katika hospitali ya moyo JKCI, Muhimbili.

Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi na atupe nguvu na faraja.

Zaidi soma Ole Mushi ni mgonjwa sana.

20240204_131933.jpg
20240204_131940.jpg

Picha: Ole Mushi enzi za uhai wake
 
Back
Top Bottom