Nimetafuta sana sehemu yoyote katika habari hii inayosema kuwa Seif kaenda kushitaki ulaya sijaiona. Kama kuna thread hapa zinabadilishwa vichwa vya habari hasa zile zinazomlenga Kikwete kwa vile zinaonekana kuwa za kichonganishi basi na hii nayo ni ya kichonganishi hivyo ibadilishwe kichwa cha habari ili kiwe kama vile habari yenyewe ilivyo
Nimetafuta sana sehemu yoyote katika habari hii inayosema kuwa Seif kaenda kushitaki ulaya sijaiona. Kama kuna thread hapa zinabadilishwa vichwa vya habari hasa zile zinazomlenga Kikwete kwa vile zinaonekana kuwa za kichonganishi basi na hii nayo ni ya kichonganishi hivyo ibadilishwe kichwa cha habari ili kiwe kama vile habari yenyewe ilivyo
JK alichukua Nchi akaanza kuzunguka Dunia nzima kujitangaza kwamba ndiye Rais baada ya Mkapa je hatukusema maneno haya hapa mkawa mnabisha ?
Mhhhh!!!!!!!!!!!!
Nashauri wakristo woooote hii kazi ya kupindua wawaachie waislamu kwani hata serikali yenyewe imejaa waislamu au siyo wakulu?
Hakuna haja ya mkristo kushiriki hapo.tutahamia bara woooote wakati wakipindua pindu.
pindua pindu pindu pinduuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Kimsingi nakubaliana na wewe. Na hii siyo kama ni mshabiki au mpenzi wa CCM. Nina mawazo pia kuwa CCM sio wanaotufaa. Mimi nafikiri Znz sasa wanahitaji alternative political forces. Chama mbadala ambacho kitapambana na vimbwanga vya CCM, na udhaifu wa CUF, Chama kitakachoongoza mapambano ya kweli ya kizazi cha leo katika kuwakomboa kweli wa-zanzibari na kuwaletea umoja wao. sio mashairi ya CUF na CCM, wote wana fikra na mawazo mgando.CUF waende popote kushitaki na wataonekana wajinga na mahayawani wa kutupwa. Ni ukosefu wa mawazo kwa kuwa na ubongo ulioganda.
Waende watakapo kuishitaki CCM, na kama haitoshi huko Ulaya na America basi waende kwa waarabu pia.
Kimsingi nakubaliana na wewe. Na hii siyo kama ni mshabiki au mpenzi wa CCM. Nina mawazo pia kuwa CCM sio wanaotufaa. Mimi nafikiri Znz sasa wanahitaji alternative political forces. Chama mbadala ambacho kitapambana na vimbwanga vya CCM, na udhaifu wa CUF, Chama kitakachoongoza mapambano ya kweli ya kizazi cha leo katika kuwakomboa kweli wa-zanzibari na kuwaletea umoja wao. sio mashairi ya CUF na CCM, wote wana fikra na mawazo mgando.
Niliongea suala hili katika thread moja na watu wameshafuta kama kawaida yao.Vyama hivi ninanipa shaka kubwa sansa kama wakipewa waongoze nchi sababu watatuletea mambo ya Neo colonoalism.kuna chama kimoja cha kikabila huwa wanapata pesa toka Ujerumani ili waongoze shughuli zao.CUF sijui zinatoka wapi.CUF-Zanzibar kuwa watu makini ila kwa hapa Bara,Upinzani Bado sana labda wajipange kwa miaka kama 50 huku wakisaidiwa na waandishi wa habari ila kama siyo hivyo bado sana..sana sana CHADEMA,hakina viongozi na kimejaa watu wabinafsi tu(Mawazo Binafsi)
Mataifa ya Nje tumeyachoka na tunahitajki kufanya maamuzi sie wenyewe.Matokeo ya kuzikaribisha nci za magharibi ni kuchochea uharibifu wa Amani.
Kimsingi nakubaliana na wewe. Na hii siyo kama ni mshabiki au mpenzi wa CCM. Nina mawazo pia kuwa CCM sio wanaotufaa. Mimi nafikiri Znz sasa wanahitaji alternative political forces. Chama mbadala ambacho kitapambana na vimbwanga vya CCM, na udhaifu wa CUF, Chama kitakachoongoza mapambano ya kweli ya kizazi cha leo katika kuwakomboa kweli wa-zanzibari na kuwaletea umoja wao. sio mashairi ya CUF na CCM, wote wana fikra na mawazo mgando.
Kimsingi nakubaliana na wewe. Na hii siyo kama ni mshabiki au mpenzi wa CCM. Nina mawazo pia kuwa CCM sio wanaotufaa. Mimi nafikiri Znz sasa wanahitaji alternative political forces. Chama mbadala ambacho kitapambana na vimbwanga vya CCM, na udhaifu wa CUF, Chama kitakachoongoza mapambano ya kweli ya kizazi cha leo katika kuwakomboa kweli wa-zanzibari na kuwaletea umoja wao. sio mashairi ya CUF na CCM, wote wana fikra na mawazo mgando.
Ndivyo unaweza kuutaja udhaifu wa CUF ?
Ndugu yetu huyo muachie tu kama ukisoma post zake zote zinazohusu mgogoro wa Znz utajua yuko upande gani ingawa katika hii alianza kwa kujishuku na kujipapatua kuwa si mshabiki Chi Chi Emu - tufanyeje ndio demokrasia na moja katika vigezo vyake ni kuvumiliana.
Tusubiri pengine atakupa huo udhaifu kama si kushambulia viongozi binafsi.
Watu wanafanya unazi kabisa .Nashangaa wanaishindwa kuona kwamba Seif had a trip planned prior NEC ya Butiama .Lakini pia mnalaumu sana kwamba Arudi kwa wananchi kuishitako CCM .Wamesha fanya tayari na kusema wanajitoa mlitaka ashitaki mara ngapi ? CCM wanasema shauri lirudi kwa wananchi mbona wakati wanaiba kura nan kutangaza matokeo kwa nguvu hawawashirikishi wananchi ?
Nilishawahi kusema Maalimu Seif ni miongoni kwa Threats za Muafaka Zanzibar.
Kwa kuwa anatamani ashike madaraka hata kwa siku mbili!!! That is ngangari bwana.
Huko Nyuma nilishawahi kumlinganisha na Marehemu. Jonas Savimbi... ambaye alivyoondoka tu... it took hardly less than 10 days... vita ya miaka zaidi ya 25 ya Angola ikaisha...Ingawa siku zote tuliambia tatizo ilikuwa la chama chake cha UNITA, kumbe ilikuwa yeye mwenyewe Savimbi.
Na leo hii Maalimu Seif akisema siasa basi, au hagombei tena, au uongozi wa siasa basi... Muafaka Zanzibar utapatikana same day/week/month or maximum same year. Kwani Tatizo sio CUF, tatizo ni Maalim Seif mwenyewe.
Kumbukeni munkari wake ulivyopungua alivyoanza kupewa mafao ya Waziri Kiongozi mstaafu...