hatima

Oligocentria semirufescens, the red-washed prominent moth or rusty prominent, is a moth of the family Notodontidae. The species was first described by Francis Walker in 1865. It is found in North America from Nova Scotia west to Vancouver Island, south to Florida, Colorado and central California.
Western populations of O. semirufescens are paler and greyer than those from eastern Canada, and superficially resemble the southern Oligocentria perangulata.
The wingspan is 30–45 mm. Adults are on wing from May to September, but from June through early August in Alberta.
The larvae feed on various trees and shrubs, including apple, beech, birch, poplar, oak, maple, rose and willow.

View More On Wikipedia.org
  1. Baba jayaron

    JamiiForums Tanzania Nilichooneshwa: Hatima ya TAL na wasaliti wanaorejea

    Wasalaam, I declare interest, haya ni maono, yaan ni ndoto ilinichukua mchana ghafla nikipoteza ufahamu wa kawaida kwa muda nnao kadiria dakika moja na nusu. Katika hali ya kustaajabisha kabisa nikaoneshwa namna vikao vya siri wakuu wakilaumiana kwanini kila pigo walilopiga Chadema limekua...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya Tanganyika baada ya kuuza na kugawa kila kitu

    Tukichambua hoja hii ya kwamba "kuuza kila kitu ni kuuza urithi," tunaingia kwenye kiini cha mjadala wa uzalendo, uchumi, na mustakabali wa Tanganyika .Hapa ngoja nichambue kwa kina kwanini dhana hii ni nzito na ni muhimu kwa mustakabali, uhai na ustawi wa Tanganyika 1. Kupotea kwa Maamuzi...
  3. MK254

    JamiiForums Tanzania Hawa watoto wa Iran wanaohusishwa vitani na Iran hatima yao vipi

    Watu wazima wakifa vitani huwa mnasema watapewa mabikira 72, sasa je hawa watoto, hamuoni kama itakua child pornography kuwapa mabikira kule, maana wanatumika kushika doria na kufia huko.... ============ An 11-year-old Iranian boy killed in recent fighting was at a Revolutionary Guard...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu na hatima ya maridhiano

    Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akitimiza siku 100 madarakani tangu alipoapishwa Novemba 3, 2025, ahadi ya kuunda tume ya maridhiano na kuanza kwa mchakato wa katiba mpya imekuwa ikihojiwa. Lakini mwenyewe alisema ahadi yake ya kuunda tume ya maaridhiano itasubiri kwanza Tume aliyoiunda ya...
  5. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Uzi wa Yanayoendelea Iran, Historia na Hatima yake

    Hapa chini ni muhtasari wa historia ya hivi sasa na yanayoendelea nchini Iran — hasa jinsi ilivyofikia hali ya sasa ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, pamoja na harakati kubwa za umma: 1. Asili ya mgogoro wa sasa Uchumi uliharibika Iran imekuwa ikipigana na msongamano wa uchumi kwa zaidi ya...
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kutofanikiwa kwa maandamano ya Mo 29 , D9 na hatima ya Tanganyika

    Naona giza mbeleni na hali inatisha Sana Sana! Dini inatumika kuisambaratisha Tanganyika😭😭😭 Hili igizo la RC lilikuwa ni kwa ajili ya kuwatoa Watanganyika kwenye reli ili kikao cha Zenji kiende bila kelele. Kumbukeni wakurugenzi wote nchini wameitwa wako huko Mkandarasi wa igizo hili ndio...
  7. Rungwe88

    JamiiForums Tanzania Kijana mpambanaji, hatma yako ipo mkononi mwako

    Nitaandika kwa kifupi sana hii mada. Kuna vijana wanajitafuta kutoka kiuchumi ili kukizi mahitaji muhimu kama chakula, malazi(nyumba), na mavazi kwake binafsi, familia, ndugu n k. Sasa yameongezeka mahitaji muhimu mengine kama gari, simu za gharama n.k Sasa kijana mpambanaji hakuna kazi...
  8. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kodokushi: Hatima iliyojaa upweke

    Kodokushi — Kifo Hakuna Mtu Anakitambua 🇯🇵 Wanaiita Kodokushi - "kifo cha upweke." Hali hii Inatokea wakati mtu anapokufa kimya kimya nyumbani kwake peke yake! ... na hakuna mtu anayekuja Hakuna familia. Hakuna marafiki. Kimya tu na hatima iliyojaa upweke! Siku zinapita. Kisha wiki. Mpaka...
  9. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Picha kubwa kwa kinachoendelea Tanzania

    Kinachoendelea Tanzania ni mgogoro wa kikanda(East Africa) sababu kubwa ikiwa ni rasilimali zilizopo katika nchi hizo hasa pale DRC. Kwa yanayoendelea Tanzania kutekwa mauwaji etc ni mbinu au mikakati ya ki-intellijensia ku- counterattack mipango ya ki-intellijensia. Diplomasia ya awamu ya nne...
  10. FK21

    JamiiForums Tanzania Hatima huwa haikimbiwi kamwe

    Nimejifunza haya kutoka kwa Polepole na Tundu Lissu hatima uliyo pangiwa na MUNGU huwezi kuikimbia Kuna watu huwa wanasema kwanini wasinyamaze Hapana kila mtu Kuna namna kaumbwa Tundu Lissu na Polepole wa sasa starehe Yao haikuwa pesa Bali ni kuwa wakweli na wapinga uovu no matter what...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo Mzee Butiku , Kwa Maoni yako unayohisi yana Busara, nini Hatima ya Watanzania kuanzia 2026 ikiwa Samia ataendelea?.

    Nini Hatima ya Waliotekwa na Kufungwa na kuuwawa?. Nini Hatima ya Vyama vya siasa hasa CHADEMA ? Ni Hatima ya Tundu LISSU ?. Nini Hatima ya Walio, wanao na watakaoendelea kuikosoa Serikali Kwa namna mbovu inavyoendesha Nchi?. Nini Hatima ya Wazalendo ambao wanahitaji kuhakikisha...
  12. Killing machine

    JamiiForums Tanzania Je! Nini hatma ya mkulima na mazao yake Tanzania?

    Niki fikiria kuhusu gharama za kilimo na Bei zilizopo" nabaki najiuliza Nini maana ya kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu? Hebu fikilia.. Kukodi shamba ni pesa Kulima ni pesa Mbolea ni pesa Kupalilia ni pesa Kuvuna ni pesa Kutoa mazao shambani kwenda mjini ni pesa Tena ni tsh 1000...
  13. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Wazo Fyatu: Tundu Lissu Asijitete - Ameshakubali hatima yake mikononi mwa watawala!

    Na. M. M. Mwanakijiji Mashtaka ya tuhuma za Uhaini dhidi ya Tundu Antipas Lissu hadi yalipofikia sasa hivi yanatuelekeza kuwa mashahidi wa viti vya mbele vya mashtaka ya Tundu Lissu dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano. Japo kesi hii imeletwa na watawala katika jitihada za kumnyamazisha...
  14. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Zandaaaaani: Hatima ya Fadlu Davis kujulikana tarehe 16

    Uongozi wa Simba umempa kocha mechi 1 ya angalizo ambayo ametakiwa kushinda ili kuendelea kubaki klabuni hapo. Endapo Simba itafanya hivyo, basi zigo la lawama atakuwa akisukumiwa Fadlu kipindi yeye hayupo kila timu ikifanya vibaya.
  15. Damaso

    JamiiForums Tanzania Utalii, Mitandao ya Kijamii na Hatima ya Utamaduni wa Wahadzabe

    Wahadzabe wamekuwa na mfumo wa maisha unaoheshimika duniani, wakihusishwa na uwindaji wa asili, maarifa ya mimea tiba na mfumo wa kijamii usio na mpangilio wa tabaka. Lakini mabadiliko ya karne hii yameingia kwa kasi isiyozuilika. Wageni na makampuni ya utalii wamevamia makazi yao kwa lengo la...
  16. Noel france

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

    Ndugu zangu Watanzania ama watanganyika,naona vibaya hata kuandika hii barua kutokana na mambo yanavyoendelea kutoka kwa wadau mbali mbali na pia naweza kuwaita wazalendo waliojitolea kututoa matongotongo machoni,na kutuzibua masikio. Sasa naweza kusema inatosha kwa sasa viongozi hawana nia...
  17. CARDLESS

    JamiiForums Tanzania Hatima ya Tanzania 2025-2050

    Leo hii ni Tarehe 16/08/2025, ninaandika hapa hatima ya nchi yetu hii pendwa (TANZANIA). Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania, hapa ni kwetu, hapa ndipo tunapojivunia kama watanzania. Kabla ya kuwa Juma au Patrick au Patel au Nakamura au Masanja ulianza kuwa Mtanzania, Yes sisi ni watanzania...
  18. Criss

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ikitokea Mbowe ameahamia CHAUMMA, nini hatma ya ile nafasi yake ya mjumbe wa kudumu?

    Lisemwalo lipo na kama halipo laja , huu ni msemo tuliyousikia tangu enzi na enzi. Kutokana na yanayoendelea mitaani na mitandaoni inaonyesha kuwa nyuma ya CHAUMMA kuna Mbowe , anyway zinaweza kuwa ni hisia tu na pengine ikawa ni kweli . Watu wengi hawaonyeshi kustushwa hata ikitokea MBOWE...
  19. Raia Fulani

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wajumbe ni WATU NA NUSU. Hatima ya utawala bora iko mikononi mwenu kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka huu (Upande wa CCM)

    Ni nani wajumbe hao? Ni walioko kwenye Kamati Kuu ya CCM Taifa (National Executive Council – NEC), pamoja na wajumbe maalum wa kutoka mikoa (Wilaya/Mkoa) na vyama vya UWT, UVCCM, Wazazi nk, ambao wako kwenye ngazi za uchaguzi wa ndani. CCM imeongeza idadi na nafasi kwa wajumbe kutoka vikao vya...
  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ni andiko gani fupi ungependa kushare hatimae liweze kugusa maisha ya mwana JF yoyote

    Utasifika kwa UCHAPAKAZI, Utaheshimika kwa MAFANIKIO, Utasujudiwa kwa UTAJIRI, Utaenziwa kwa UTU.
Back
Top Bottom