mkunga wa jadi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2025
- 208
- 431
Naamini hilo bila shaka Mtwara ndiyo ilipaswa kuwa makao makuu ya nchi hii na business center kwa nchi hii ila tu uroho,ubinafsi na chuki ya viongozi wa nchii hii kutokana na ukanda wao tu hivi kitu gani ambacho kwenye nchii hii Mtwara hakuna madini mtwara yapo,eneo la Bahari lenye kina kirefu nchii lipo Mtwara,mazao yanaongoza kuleta pesa nyingi nchi hii(Korosho, ufuta na mbaazi) yapo Mtwara utaniambia nini?
Ubaya Rais wa Kwanza wa nchi hii akaamua kuondoa reli na sababu ya kutoa reli hii ya Mtwara haijulikani sababu na reli hii imejengwa na wakoloni na wakoloni walikuwa na maana yao lakini Ndugu Nyerere akaamua kuindoa hii haijulikani
Walimpiga zengwe Dangote for any reason ili tu kuacha kuzalisha Cement au kuwepo kiwanda ila tu kwa wivu wao ili tu kuipiga chini na kuingusha Mtwara tu ili isipige mbele kimaendeleo ni wivu tu Mtwara ni strategic zone ya kibiashara ila ni ubinafsi tu hawa viongozi.
Ubaya Rais wa Kwanza wa nchi hii akaamua kuondoa reli na sababu ya kutoa reli hii ya Mtwara haijulikani sababu na reli hii imejengwa na wakoloni na wakoloni walikuwa na maana yao lakini Ndugu Nyerere akaamua kuindoa hii haijulikani
Walimpiga zengwe Dangote for any reason ili tu kuacha kuzalisha Cement au kuwepo kiwanda ila tu kwa wivu wao ili tu kuipiga chini na kuingusha Mtwara tu ili isipige mbele kimaendeleo ni wivu tu Mtwara ni strategic zone ya kibiashara ila ni ubinafsi tu hawa viongozi.