Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Watu kama hawa saa nyingine ni kuwasamehe bure , hawana exposure na hata ile common sense tu hawataki kuitumia , watu wanadhani maendelo yanakuja kwa kuongea tu, bila actions.

Wakati barabara ya kimara inajengwa nilikuwa nina wasiwasi sana jinsi barabara ya kutoka goba itakavyokuwa sunbufu kwa plan yao ya kukatisha T1, humu kuna watu kama huyu walikuja kupinga kwa nguvu zote ,
Leo hii Tanroad anafanya exactly nilichoshauri kwa kujenga overpass mbili maeneo hayo hayo,
...Njia ya Goba kuingia Morogoro Road inajengwa Fly-over??
 
First thing first barabarani ndo life line yangu , nime invest huko na maisha yangu kwa asilimia kubwa yapo huko, naelewa vizuri majanga ya huko
Hunitiishi ukisema nitafia barabarani , thats is purely my destiny an i know the risks involved .

T1 ndio barabara busy kuliko zote , na do barabara yenye matukio mengi, kwa wiki hii tu T1 ina matukio mawili ya ajali za basi na zote ni fatal,

Endelea kupiga siasa kwenye mambo technical , barabara hii kwa sasa inatakiwa dual carriageways kwenye sehemu korofi
Mkuu kuendelea kubishana na huyu kihiyo atakuumiza kichwa, sisi tunaotumia hii T1 ndio tunajua uhalisi wa barabara hii,hii T1 imepitwa na wakati, hii njia imejengwa in 60s!imeshachoka mno na tanroads wanachokifanya ni kutia viraka tu, angalia Ile miteremko ya mlima Nooka pale Mbeya ni uchafu mtupu, Mbeya to tunduma ni death traps, kitonga pass ni road hazard, mikumi national park ni ovyo kabisa na matuta yao ya kiajabu
 
Pamoja na mwendo kasi huyu dereva wa lori alikosea sana kumkwepa bodaboda.....hawa bodaboda wana tabia ya kukaa katikati kama gari na wamekuwa chanzo cha matatizo sana ukizingatia pia hawana shule ni bomu kubwa.
Ushauri wangu kwa madereva mwendo kasi unaua jamani....wazungu sio wajinga kusema hivyo kwani ndio waliotengeneza hayo machuma.
Pia ukiona bodaboda analeta zake mkanyage yeye..ikibidi mtoe utumbo kabisa...huyu dereva wa lori angefanya hivi tungekuwa tunaongea mengine na si watu zaidi ya 22.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Mkuu unavyosema wanakaa katikati kuna Sheria yoyote inayomtaka mwendesha pikipiki akae pembeni? Mila MTU ana haki kutumia barabara haijalishi mwendesha baiskeli au guta, kuna mazingira ambayo huwa hi uzembe kama hiyo ajali hapo dhahiri ukiachana na shida ya barabara zetu kuna uzembe mwingi si madereva wa magari wala pikipiki, isitoshe madereva wangekuwa na utashi pale kwenye usukani hayo Mambo yangepungua Sana shida na wao kujali uhai wao pia. Nadhani unajua fika how IT car are driven haijalishi gari ya ukubwa gani same as buses, majority bodaboda pia Ila huwezi sema pikipiki kasababisha hiyo ajali na kusema Bora wangegongwa wao, angalia hizo picha vizuri hiyo crash inaonyesha wote bus and IT walikuwa kwenye speed kubwa Sana.
Kila mtu azingatie Sheria za barabarani na kufanya maamuzi sahihi awapo barabarani.
 
...Ukute hapo madereva wote wawili walikuwa wangu wangu ndio maana wakashindwa hata kujiokoa na kuwaokoa wengine kwa hata kupeleka gari porini!
Mbeya to Dar ni kama 800km,huu ni mendoza wa 10hrs kwa bus!,Dar to tunduma ni kama 1000km huu ni mwendo wa less than 12hrs kwa bus(wakati T1 ipo Safi bus ya Scandinavia ya Dar to Lusaka ilikua inavuka border the same day, Leo Sauli inaingia border saa 20h00 umbali ule ule, TATIZO BARABARA),speed sio factor pekee na vihiyo wengi wameaminishwa hivyo!
 
Mkuu unavyosema wanakaa katikati kuna Sheria yoyote inayomtaka mwendesha pikipiki akae pembeni? Mila MTU ana haki kutumia barabara haijalishi mwendesha baiskeli au guta, kuna mazingira ambayo huwa hi uzembe kama hiyo ajali hapo dhahiri ukiachana na shida ya barabara zetu kuna uzembe mwingi si madereva wa magari wala pikipiki, isitoshe madereva wangekuwa na utashi pale kwenye usukani hayo Mambo yangepungua Sana shida na wao kujali uhai wao pia. Nadhani unajua fika how IT car are driven haijalishi gari ya ukubwa gani same as buses, majority bodaboda pia Ila huwezi sema pikipiki kasababisha hiyo ajali na kusema Bora wangegongwa wao, angalia hizo picha vizuri hiyo crash inaonyesha wote bus and IT walikuwa kwenye speed kubwa Sana.
Kila mtu azingatie Sheria za barabarani na kufanya maamuzi sahihi awapo barabarani.
Maelezo mengi wakati ukweli hakuna, elewa T1 ni freeway, bodaboda hatakiwi kuwa in a freeway!,ni motorcycle zenye cc kubwa ndio zinatakiwa kuwa kwenye freeway na nyingi Zina speed zaidi ya gari, pedestrian, mifugo havitakiwi kwenye highways
 
Umepewa ukweli mchungu... nyakati za yule Fashisti media ilikua controlled kiasi kwamba wapumbavu wengi wa bongo walijiona wako ulaya. Huo ndo ukweli lakini madudu yalikua mengi kuliko uhalisia wake.
Uzuri ni kwamba mnacoment huku moyoni mnajua ukweli.

Sasa hivi hatuhangaiki na wapumbavu ila muda utasema,!

Msifikiri kila mtu amejaza tope kichwni kama mlivyo nyie wajinga wachache

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unavyosema wanakaa katikati kuna Sheria yoyote inayomtaka mwendesha pikipiki akae pembeni? Mila MTU ana haki kutumia barabara haijalishi mwendesha baiskeli au guta, kuna mazingira ambayo huwa hi uzembe kama hiyo ajali hapo dhahiri ukiachana na shida ya barabara zetu kuna uzembe mwingi si madereva wa magari wala pikipiki, isitoshe madereva wangekuwa na utashi pale kwenye usukani hayo Mambo yangepungua Sana shida na wao kujali uhai wao pia. Nadhani unajua fika how IT car are driven haijalishi gari ya ukubwa gani same as buses, majority bodaboda pia Ila huwezi sema pikipiki kasababisha hiyo ajali na kusema Bora wangegongwa wao, angalia hizo picha vizuri hiyo crash inaonyesha wote bus and IT walikuwa kwenye speed kubwa Sana.
Kila mtu azingatie Sheria za barabarani na kufanya maamuzi sahihi awapo barabarani.
Kila mtu ana Hakj na Barabara, sawa. Mbona wewe mwenda kwa miguu hutembei kati kati ya Barabara??
 
Cha ajabu wakati yule fashisti akihubiri falacies zake wengi wa hawa brainwashed lunatics walishindwa kuhoji hata vitu dhahiri, mtu anasema serikali yake tajiri ilhali hakuwai pandisha mishahara wala project kutumia pesa za ndani zaidi ya mikopo.

Yule mshamba aliokota wengi akiwemo huyo crimea mlima nyanya wa dabaga iringa.
Ninchofurahi ni kwamba mnaumia sana na mnakibarua kizito sana cha kuwaaminisha watu kitu ambacho wamekataa kukiamini!

Nyie wapumbavu tunawajua hakuna zuri lolote mlilowahi kuliona kwa Magufuli!

Hata hivyo hakuna shida sababu kila mtu anaona. Na tulioko huku field tunaona kila kitu, wapumbavu wachache mtateseka sana! Ulionaje kwanza juzi watu walivyomlilia kipenzi chao?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Maelezo mengi wakati ukweli hakuna, elewa T1 ni freeway, bodaboda hatakiwi kuwa in a freeway!,ni motorcycle zenye cc kubwa ndio zinatakiwa kuwa kwenye freeway na nyingi Zina speed zaidi ya gari, pedestrian, mifugo havitakiwi kwenye highways
Mkuu T1 zetu na maisha yetu nadhani unafahamu hao ng'ombe watapita hata pikipiki with cc ndogo, issue ni kwamba hiyo ajali ni uzembe Kati ya bus na IT.
 
Halafu hapo sangasanga kuna traffic wanakagua sasa sijui imekuweje dereva unatoka speed kali ukizingatia umeishaingia mkoani.
 
Maelezo mengi wakati ukweli hakuna, elewa T1 ni freeway, bodaboda hatakiwi kuwa in a freeway!,ni motorcycle zenye cc kubwa ndio zinatakiwa kuwa kwenye freeway na nyingi Zina speed zaidi ya gari, pedestrian, mifugo havitakiwi kwenye highways
Asante kwa kunisaidia....


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Nikiangalia video inaonesha dereva wa basi alikuwa anatafuta option B yaani alihama kwake sasa na wa lori inaonekana akawa anarudi wakakutana.
 
Mkuu unavyosema wanakaa katikati kuna Sheria yoyote inayomtaka mwendesha pikipiki akae pembeni? Mila MTU ana haki kutumia barabara haijalishi mwendesha baiskeli au guta, kuna mazingira ambayo huwa hi uzembe kama hiyo ajali hapo dhahiri ukiachana na shida ya barabara zetu kuna uzembe mwingi si madereva wa magari wala pikipiki, isitoshe madereva wangekuwa na utashi pale kwenye usukani hayo Mambo yangepungua Sana shida na wao kujali uhai wao pia. Nadhani unajua fika how IT car are driven haijalishi gari ya ukubwa gani same as buses, majority bodaboda pia Ila huwezi sema pikipiki kasababisha hiyo ajali na kusema Bora wangegongwa wao, angalia hizo picha vizuri hiyo crash inaonyesha wote bus and IT walikuwa kwenye speed kubwa Sana.
Kila mtu azingatie Sheria za barabarani na kufanya maamuzi sahihi awapo barabarani.
Kama ukisoma kwa makini utaona nimepoint out suala la speed...
Ila bodaboda ni shida....kwa namna yoyote ikibidi mkaange yeye...
Personally nitafanya hivyo

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu iyo Ahmed ATH waiita ndege ya chini inatembea balaa, kutoka mbeya hua ata kina sauli na newforce awaoni kitu na inavyotoka tanga hua inazipita hadi bus nyingne za kutoka dar! Iyi impact apo inaonyesha kati ya bus au iyo lorry IT moja wapo ilikua speed kali Sana au zote zilikua mafuta
Nipo Morogoro Usemalo Wala Siyo Kweli
Hao Akina Sauli Huwa Wanatanguliwa
 
Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka hii basi huwa inaingia tanga saa tatu au nne usiku.
 
Unakimbilia wapi?
Kaa chini andika vizuri?
Gari gani?
Mzumbe ya wapi?
Morogoro au mbeya?
Mbona kaandika vizuri na habari umeeleweka. Ametaja magari yaliyo gongana, eneo la ajali na athari zilizojitokeza. Sasa wewe ulitaka akuchoree na ramani?
 
Back
Top Bottom