Mods tunaomba hadhi ya Chit Chat forum irudishwe!!

Mods tunaomba hadhi ya Chit Chat forum irudishwe!!

Status
Not open for further replies.
Achana nae kakurupuka usingizini memory haijaboot bado. Mod hajui maana ya jukwaa?
hata km ni mulika mwizi sio kiivyo

Hahahaaaaa..... Memory boot failure :doh: :doh:
 
charminglady nimeiona aise nimeogopa mods wako huku sijui nani kawaleta aise. Tutaanza kuogopa kuingia chit chat sasa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa..... Memory boot failure :doh: :doh:

Yan tuna kazi.
Huyu jamaa ni km polisi wa Tanzania wakiambiwa kitu hata hawatafakari yan wanakurupuka tu km kondoo wameshtukizwa.
Sasa kuambiwa chitchat irudishwe hadhi ndio kaja na marungu. Atutolee nanii zake hapa.
 
Yan tuna kazi.
Huyu jamaa ni km polisi wa Tanzania wakiambiwa kitu hata hawatafakari yan wanakurupuka tu km kondoo wameshtukizwa.
Sasa kuambiwa chitchat irudishwe hadhi ndio kaja na marungu. Atutolee nanii zake hapa.

Hahaaaa kama policcm!!!!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom