Mods tunaomba hadhi ya Chit Chat forum irudishwe!!

Mods tunaomba hadhi ya Chit Chat forum irudishwe!!

Status
Not open for further replies.
charminglady nani alimwambia Buchanan kuwa tunataka kumulikwa na tochi yake huku
Huku ilikuwa stress free sasa naona kunakuwa kama lile jukwaa la akina Ritz na zomba
Madame B uko salama wewe. manoah sijamuona alikuwa ameambiwa anapendwa
Vin Diesel uko salama kaka

Mimi sijambo Mr Rocky,
na ni mzima kbs.
Unajua bhana kwa mtazamo wangu mimi naona kama vile Ma-mod wana upendeleo fulani,hasa Modereta wewe hapo.
Hutendi haki kwa baadhi ya Member,unaegama upande mmoja tu na licha ya hvo ukimuona mfuasi wako kaja nawe ndo unajidai kuja.
Kumbuka Mod ni member kama mimi na una hiari yako kunichukia au kunipenda (japo hapa sipapendi),
ila Ukweli ndo huo,
Acha kupendelea Upande Mmoja!
Au wewe ndo yule member?

NB:
Sijataja jina la Mod,hvo simo.
Me nimerusha jiwe gizani tu.....
 
Last edited by a moderator:
Madame B ila tumlaani huyo aliyefanya mpaka mods wakawa wageni wa jukwaa letu. Ni kidudu mtu tena tunaweza sema ni kirusi kabisa kilitembelea humu mpaka mods wakaja huku
stevoh na manoah angalieni mienendo yenu bana
 
Last edited by a moderator:
Mungi nahisi wewe ni mmojawapo na ndo maana ukakimbia jukwaa la siasa kuepuka kifungo
stevoh usije ukatukana ukapata ban bure au ukampenda mke wa mods utakula ban
 
Last edited by a moderator:
Mungi nahisi wewe ni mmojawapo na ndo maana ukakimbia jukwaa la siasa kuepuka kifungo
stevoh usije ukatukana ukapata ban bure au ukampenda mke wa mods utakula ban
Mr Rocky hebu niambie............ siri yako lakini usimwambie mtu............. eti mke wa Paw ni nani? nataka nikamfanyie sapraiz sawa!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Paw
Last edited by a moderator:
Mungi wanasema eti ni King'asti aise sijui kama kapewa talaka au bado yupo
Vin Diesel dah naona jukwaa sio jema tena aise mkuu Buchanan anatembelea huku kama kwake
charminglady dah hakufai tena chit chat aise nina mpango wa kuhamia jukwaa lile la chini kabisa nikajiachie
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom