Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,501
- 6,200
Labda Mnyika
Kwanini uchaguzi usiahirishwe,atangazwe tu?Mi kwa kauli yako naona ni kupoteza muda na raslimali nyingine,kufanya hilo igizo.Kumbuka kiserikali Hussein Mwinyi kwa sasa anatambulika kama Rais ajaye wa Zanzibar, in fact ameshapewa ulinzi wa hali ya juu.
Uchaguzi utafanyika kama formality tu, ila Mwinyi lazima watamtangaza mshindi
Formalities muhimu bashweee..Kwanini uchaguzi usiahirishwe,atangazwe tu?Mi kwa kauli yako naona ni kupoteza muda na raslimali nyingine,kufanya hilo igizo.
WakwakoAnaenda kwenye Msiba wa Nani??
Kwakweli yule bwana anaweza kuanguka hapo msibani.Hapo CHADEMA mtasababisha mtu fulani ashindwe kuhudhuria mazishi. Au hata na yeye anaweza kupata cardiac arrest.
Kumuangalia uliyemuua kwa risasi 16 halafu akafufuka yataka moyo!!
Mkuu Zanzibar ni inje ya inchi..This is Chadema I know. Kudos Mnyika. There is no way Hussein Mwinyi anapokelewa Zanzibar kuanzia AirPort na shamrashamra kibao alafu kumpokea Lissu iwe nongwa.
Tena nyie mataga mkae kwa kutulia.Msaliti wa taifa.
Kwani kuna nchi ngapi hapa Tanzania ?Mkuu Zanzibar ni inje ya inchi..
Lakini sipingi Lissu kupokelewa.
Alikukazia mkeo?Msaliti wa taifa.
Yaliwapata segerea na bado hamjifunzi! Pamoja na sehemu nyeti za kiusalama wa taifa airport ni mmojawapo. Kuna sehemu za kufanya mkusanyiko ya mihemko ya kisiasa lakini siyo airport hasa kwa mazingira ya msiba wa kitaifa. Naamini safari hii kipigo siyo tu cha jeshi la police, lakini pia majeshi mengine pia halali yao. Sisi wengeni ni kuonya ili msije mkasema hatukuambiwa. SHAURI YENU.Hayo yamesewa na Mhe. Mnyika kupitia mtandao wa twitter
Ndio, huyo jamaa ni Malaya Sana. Amefanya sana umalaya kwa wazungu wa kiume huko Ubeligiji.Alikukazia mkeo?
Wakikwambia katoka nje ya nchi anatakiwa awe karantini siku 14 kabla ya kuwasalimia wananchi utasemaje?This is Chadema I know. Kudos Mnyika. There is no way Hussein Mwinyi anapokelewa Zanzibar kuanzia AirPort na shamrashamra kibao alafu kumpokea Lissu iwe nongwa.
wa LofaBoyAnaenda kwenye Msiba wa Nani??
Wa baba yako mzaziAnaenda kwenye Msiba wa Nani??