Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Twende ni kumpokea shujaa wetu. Twendeni kwa amani, twendeni huku tukionyesha kuwa sie ni watu wa amani, si watu wa fujo.
Kama fujo waanzishe polisi, kama kuua waue polisi. Tuone kama wanaweza kutupiga risasi watu 1000 au 2000 tutakaokuwa tumeenda kumpokea shujaa wetu
Kama fujo waanzishe polisi, kama kuua waue polisi. Tuone kama wanaweza kutupiga risasi watu 1000 au 2000 tutakaokuwa tumeenda kumpokea shujaa wetu