Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,920
- 7,469
barozi wa ethiopia itabidi ajieleze Ikulu, why ethiopian airway inambeba lissu?
Akili zako wewe ndio finyu, hujui athari ya ukiongeacho. Umeongea confidently kuwa "hatofika msibani" as if unajua nini kitamkuta before hajafika huko. Au unaweza kutupatia govt. Release au Oda ya mahakama ya kumkamata TL pindi akiwasili Airport? Au umeshaanza kurithi mikoba ya ramli ya babu yako?Tumia akili wewe kwani mimi nina dhamana ya kufika siku hiyo?? kulingana na kesi zake.zinazoendelea mahakamani atachukuliwa kama mhalifu kwa mujibu wa sheria, au unajifanya hulijui hilo?? hakuna mwenye dhamana ya maisha ya mwenzake hata wewe unaweza ukafa kabla ya lissu
Msaliti wa taifa.
Wakikwambia katoka nje ya nchi anatakiwa awe karantini siku 14 kabla ya kuwasalimia wananchi utasemaje?
Wewe na lisu msaliti wa taifa wote ni takataka.Unapigwa behind
sasa unanitukana kisa nini?? Mkewe lissu mwenyewe hatukani kama wewe, hongera kwa kumzidi mke wa mtu, sisi wengine matusi hatuweziAkili zako wewe ndio finyu, hujui athari ya ukiongeacho. Umeongea confidently kuwa "hatofika msibani" as if unajua nini kitamkuta before hajafika huko. Au unaweza kutupatia govt. Release au Oda ya mahakama ya kumkamata TL pindi akiwasili Airport? Au umeshaanza kurithi mikoba ya ramli ya babu yako?
Ndugu yangu utaugua bure.Acha kusingizia uchawi, mbona unausifia Sana? Ndio urithi wako Nini? TL ameshakiuka mashariti ya dhamana, ajiandae to kusondekwa🤣😂🤣!
Katoka kwenye Corona huyo... siku 14 za karantini zinamhusuThat's good kuwahi msiba
msiba wa muuza nchi .. mbinafsishaji wa mashirika yetu na muuzaji wa nyumba za ummaAnaenda kwenye Msiba wa Nani??
Unadhani hii imezuia nini au imeathiri nini?sidhani kama kuna mtu aliyekatazwa kwenda kumpokea ampendaye, naamini kilichokatwa ni mkusanyiko na shamrashamra za mamia ya watu airport na mabarabarani....
Unadhani hii imezuia nini au imeathiri nini?
Sipati picha pale atakapo kwenda Msibani wilayani Masasi kama kiongozi wa Chama (M/Mwenyekiti) halafu ndio anatambutishwa "Naomba kumtambutisha M/Mwenyekiti Chadema Mh. Tundu Lissu" sijui hali itakuwaje. Tukiacha Unafki, Lissu anamvuto wa kipekee na anakubarika sn kwa Watz walio wengi bila kujali chama. Mungu ibariki Tanzania
Hawezi kufika masasi tayari kizingiti kimeisha wekwa anatakiwa mahakamani 30 jly 20