Mkutano maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa na wadau wa Demokrasia tarehe 04 Januari 2024

MWenyekiti Wa kikao Anazungumza. Muda upo kupitia baraza ka vyama vya siasa. Watu wanaweza kutoa maoni yao. Ili tuweze kupata sheria itakayotuongoza.

Nawashukuru sana.
Tuendelee kuwa watulivu.
 
Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa anaongea.
Anawashukur wajumbe wote. Baraza la vyama vya siasa anachukua maoni kama yalivyo na kuyapeleka Serikalini na Bungeni.
Huu ni ukomavu wa kisiasa na hii ndiyo demokrasia.
Huwezi kwenda kusema pembeni. Hapa ndipo mahala pake.
Twende kupata Chakula sasa
Mgeni Rasmi anakuja
 
Dr, Lilian Badi Mwenyekiti NGO taifa

Mchango uende kwa kamati itakayokuwa inafanya majumuisho. Kuhusu wakurugenzi wa halmashauri wasiwe wasimamizi wa uchaguzi.
Wakurugenzi kuwa wasimamizi wanauelewa wa maeneo ya utawala wa maeneo husika.
Kuteuliwa na rais hakutawafanya wasitekeleze majukumu yao. Kujitoa uanachama.
Athari ya watu ambao wapo nje ya Serikali ikiwemo ghrama.

Huyu kilaza kweli. Kwa hivyo wakurugenzi waendelee kuwa wasimamizi. Sasa Kuna maana gani ya kuitwa Tume Huru.
 
Hapa hamna kitu. Issue ni Tume iwe huru, kulazimisha wakurugenzi waendelee kusimamia uchaguzi ni ujinga.
 
Benson Kigaila afunika

Screenshot_2024-01-04-13-19-38-1.png
Screenshot_2024-01-04-13-19-49-1.png
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa mamlaka aliyopewa, alitoa maagizo kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kuhusu kuandaa mkutano maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa. Lengo la maagizo hayo lilikuwa kutoa fursa kwa wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa kutathmini utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa na Kikosi Kazi kilichojikita katika kufanyia kazi masuala yanayohusiana na demokrasia ya vyama vingi vya siasa Nchini tanzania


View: https://www.youtube.com/live/-fPLqXbkrek?si=eFhTUvqM6xIdoqG9

1704369325689.png
 
Mgeni Rasim
Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati
 
Naibu Msajili wa vyama vya siasa anasimama kutambulisha viongozi
 
Wazo hili la kuitisha mkutano lililetwa na kamati uongozi ya baraza la vyama vya siasa.
 
Baraza la vyama vya siasa lilikubali wazo hili. Baadae likapelekwa kwa msajili wa vyama vya Siasa.
Tukaomba Bajeti kwa Rais na Rais alikubali.
 
Jaji Mtungi anawashukuru wajumbe kwa kuwa watulivu.
Jaji Mtungi: Nawashukuru watoa mada na wachangiaji kweli wametendea haki.
Bali na Kujadiliana kuhusu mswada wa sheria. Kulikuwa mada maalum wa 4R.
Falsafa ya 4R iliweka msingi katika mjadala wa mswada.

Anawashukuru wageni kwa kushiriki kwao. Anasema palipo na mapungufu watusamehe tutayarekebisha.
 
Anasema: Nchi nyingi za Kiafrika wanashindwa kukaa pamoja vyama vya siasa. Lakini sisi hapa Tanzania tunakaa kwa pamoja.
Nashukuru sana pacha wangu Jenister Muhagama.
Kutushirikisha sisi Zanzibar itaondoa minong'ono
Tunaomba tuendelee kushirikishana.
 
Back
Top Bottom