Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Naona jamaa akisikia huu ujumbe lazima arudi chimbo
Mkuu, huo mkutano sijauelewa kidogo. Hao watu wanaonekana, ndio waliohudhuria, au wamebandikwa tu kunogesha huo ujumbe wake?
Anachukua kwa chama kipi?
Matokeo yapo mfukoni?
Kutia nia siyo kupewa fomu bwashee.Chadema tayari zaidi ya 11 kwenu vipi mshatoa ngapi
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu
Naona kiwewe kishaaanza mnamhofia MBOBEZI
Yeye ni mwana ccm na lazima atachukua hiyo form na sisi wana ccm tutamchagua maana ndiyo chaguo letu, Membe hoyeeeeeeeeLabda ndio hiyo fomu moja ya Chadema atapewa Membe!
Kumekucha na makucha yakeKumekucha kumekucha
Huo urais aende akagombee chadema au ACT lakini sio CCM na haita kuja itokee membe awe rais wa tanzania ,hana vigezo wala hata nusu ya kumfikia Dr. Magufuli hakuna wa kumpinga magufuli ndani ya CCM. Over.
Slaa alisema tu lkn hakwenda hata kwenye vyombo vya habari kutangaza maana hakua official yaan we hapo ulipo na mkeo useme tu nagombea UONGOZI VYOMBO VYA DOLA kisha useme nawe uhesabiweKutia nia siyo kupewa fomu bwashee.
Dr Slaa alitia nia 2015 lakini fomu alipewa mzee Lowassa!
Mkuu, nilitaka kujua kama aliruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara!Hapo kinacho pewa kipau mbele ni huo ujumbe tu