Nini tamko la Kamati Kuu ya CCM kuhusu Bandari

Stuka

JF-Expert Member
Jul 19, 2022
214
686
Wana Bodi,

Salaam, naomba kufahamu msimamo au Kauli au Tamko la Kamati Kuu ya CCM kuhusu mgogoro unaoendelea wa bandari, tunakumbuka mgogoro wa ufisadi mkubwa zaidi ya Trilioni 30 uliobanishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG ya mwaka 2021-2022 Kamati Kuu ya CCM Taifa ilitoa tamko kuhusu suala hilo.

Kwanini suala la Bandari hadi sasa Chama kilichopewa dhamana na wananchi kuongoza taifa kiko kimya kulikoni.

Lakini Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete kwanini yuko kimya suala hili, tunakumbuka Mwalimu Baba wa Taifa wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi na Mkapa kulipotokea jambo lolote tete au gumu kwenye umma alikuwa akiitisha mkutano wa waandishi wa habari na kutoa mtazamo wake au uelekea kuhusu suala husika

Kwanini Mstaafu Kikwete yuko kimya kwenye suala hili ambalo ukilitazama ni kama litafikia mwisho mbaya, tunaona maoni ya wananchi wengi kwenye vijiwe vya kahawa, kwenye madaladala, kwenye mastendi, kwenye mabaa, makazini na hata kwenye nyumba za ibada na kwenye mitandao ndio usimeme na wengine waliitisha maandamano na wengine wakachukua njia ya kwenda mahakamani ili kutafuta hatma ya suala hili.

Chama cha Mapinduzi kina wajibu wa kuitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa kutoa msimamo kuhusu suala hili la Bandari.
 
Sheria mpya za kulinda DP word zapelekwa bungeni.. wizara mpya yaDP word imeundwa na Dalali mmoja amekabidhiwa wizara... haya ndiyo yanayoendelea huko Tanganyika
 
Kuna mjadala nimeukuta mahali watu wanahoji kwanini Mfanyabiashara Maarufu Mohamed Dewji maarufu MO na Mfanyabashiara Maarufu Gharib Mohamed Maarufu GSM ambao ndiyo wadau wakubwa wa bandari kuingiza mizigo nchini kwamba mbona hawajasema chochote kuhusu mjadala wa DP Wold kuhusu Bandari.

Mimi nadhani Rostam Aziz ameshaongea kwa niaba ya wafanyabishara sidhani kama kuna ulazima Mo Dewji na GSM nao waitishe Press kuzungumzia bandari, sidhani. vinginevyo kama wataona inafaa labda kwa kuhojiwa na vyombo vya habari ili kupata mtazamo wao kuhusu uwekezaji huo.
 
Kuna mjadala nimeukuta mahali watu wanahoji kwanini Mfanyabiashara Maarufu Mohamed Dewji maarufu MO na Mfanyabashiara Maarufu Gharib Mohamed Maarufu GSM ambao ndiyo wadau wakubwa wa bandari kuingiza mizigo nchini kwamba mbona hawajasema chochote kuhusu mjadala wa DP Wold kuhusu Bandari.

Mimi nadhani Rostam Aziz ameshaongea kwa niaba ya wafanyabishara sidhani kama kuna ulazima Mo Dewji na GSM nao waitishe Press kuzungumzia bandari, sidhani. vinginevyo kama wataona inafaa labda kwa kuhojiwa na vyombo vya habari ili kupata mtazamo wao kuhusu uwekezaji huo.
... wote akina Bakhresa ulitegemea waseme nini.
 
Tamko la ACTWazalendo hili hapa wanasema hawapingi uwekezaji ila wanapinga vipengele vya makubaliano hebu msikilize Abdul Nondo

 
Wana Bodi,

Salaam, naomba kufahamu msimamo au Kauli au Tamko la Kamati Kuu ya CCM kuhusu mgogoro unaoendelea wa bandari, tunakumbuka mgogoro wa ufisadi mkubwa zaidi ya Trilioni 30 uliobanishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG ya mwaka 2021-2022 Kamati Kuu ya CCM Taifa ilitoa tamko kuhusu suala hilo.

Kwanini suala la Bandari hadi sasa Chama kilichopewa dhamana na wananchi kuongoza taifa kiko kimya kulikoni.

Lakini Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete kwanini yuko kimya suala hili, tunakumbuka Mwalimu Baba wa Taifa wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi na Mkapa kulipotokea jambo lolote tete au gumu kwenye umma alikuwa akiitisha mkutano wa waandishi wa habari na kutoa mtazamo wake au uelekea kuhusu suala husika

Kwanini Mstaafu Kikwete yuko kimya kwenye suala hili ambalo ukilitazama ni kama litafikia mwisho mbaya, tunaona maoni ya wananchi wengi kwenye vijiwe vya kahawa, kwenye madaladala, kwenye mastendi, kwenye mabaa, makazini na hata kwenye nyumba za ibada na kwenye mitandao ndio usimeme na wengine waliitisha maandamano na wengine wakachukua njia ya kwenda mahakamani ili kutafuta hatma ya suala hili.

Chama cha Mapinduzi kina wajibu wa kuitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa kutoa msimamo kuhusu suala hili la Bandari.
baba zao ndo wameuza bandari, what do expect? Ni kupiga buyu tu hapo kama hawajui kinachoendelea!
 
Kuna mjadala nimeukuta mahali watu wanahoji kwanini Mfanyabiashara Maarufu Mohamed Dewji maarufu MO na Mfanyabashiara Maarufu Gharib Mohamed Maarufu GSM ambao ndiyo wadau wakubwa wa bandari kuingiza mizigo nchini kwamba mbona hawajasema chochote kuhusu mjadala wa DP Wold kuhusu Bandari.

Mimi nadhani Rostam Aziz ameshaongea kwa niaba ya wafanyabishara sidhani kama kuna ulazima Mo Dewji na GSM nao waitishe Press kuzungumzia bandari, sidhani. vinginevyo kama wataona inafaa labda kwa kuhojiwa na vyombo vya habari ili kupata mtazamo wao kuhusu uwekezaji huo.
Wadau Wakubwa wa Bandari ni Watanzania wote; kwanini:-
  1. Usalama wao unaweza ukawa affected na bandari (vinavyoingia na kutoka)
  2. Kodi zinazokusanywa ni kwa manufaa yao
  3. Ndio watuamiaji wa hizo bidhaa zinazoagizwa
  4. Wazalishaji wote kama soko la nje likipatikana mizigo yao inapitia hapo

Thus kila kiumbe so long as anajulikana kama Mtanzania ana Say equally (hakuna cha Mdau Mkubwa wala Mdogo - Ila kwa umoja wao Watanzania (Now and Future Generations) ndio wadau wakubwa
 
Wana Bodi,

Salaam, naomba kufahamu msimamo au Kauli au Tamko la Kamati Kuu ya CCM kuhusu mgogoro unaoendelea wa bandari, tunakumbuka mgogoro wa ufisadi mkubwa zaidi ya Trilioni 30 uliobanishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG ya mwaka 2021-2022 Kamati Kuu ya CCM Taifa ilitoa tamko kuhusu suala hilo.

Kwanini suala la Bandari hadi sasa Chama kilichopewa dhamana na wananchi kuongoza taifa kiko kimya kulikoni.

Lakini Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete kwanini yuko kimya suala hili, tunakumbuka Mwalimu Baba wa Taifa wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi na Mkapa kulipotokea jambo lolote tete au gumu kwenye umma alikuwa akiitisha mkutano wa waandishi wa habari na kutoa mtazamo wake au uelekea kuhusu suala husika

Kwanini Mstaafu Kikwete yuko kimya kwenye suala hili ambalo ukilitazama ni kama litafikia mwisho mbaya, tunaona maoni ya wananchi wengi kwenye vijiwe vya kahawa, kwenye madaladala, kwenye mastendi, kwenye mabaa, makazini na hata kwenye nyumba za ibada na kwenye mitandao ndio usimeme na wengine waliitisha maandamano na wengine wakachukua njia ya kwenda mahakamani ili kutafuta hatma ya suala hili.

Chama cha Mapinduzi kina wajibu wa kuitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa kutoa msimamo kuhusu suala hili la Bandari.
TAMKO LITAKUWA KUPONGEZA UWEKEZAJI Kwani ni wale wale Bungeni na serikalini
 
Tamko la ACTWazalendo hili hapa wanasema hawapingi uwekezaji ila wanapinga vipengele vya makubaliano hebu msikilize Abdul Nondo

Hawa jamaa wamesoma upepo kwa muda... mwishowe wameona bora wakubali yaishe, Tanganyika lazima ishinde kwenye hili.
 
Bakhresa ni mfanyabishara safi huwezi kumkuta kwenye mambo ya dili
Bakhresa historia ya utajiri wakw inaanzia kwenye menoya tembo, tembo wetu waliteseka sana mpaka yeye akasimama, habari ya kupaka rangi viatu ni story tu za mjini.
 
Wana Bodi,

Salaam, naomba kufahamu msimamo au Kauli au Tamko la Kamati Kuu ya CCM kuhusu mgogoro unaoendelea wa bandari, tunakumbuka mgogoro wa ufisadi mkubwa zaidi ya Trilioni 30 uliobanishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG ya mwaka 2021-2022 Kamati Kuu ya CCM Taifa ilitoa tamko kuhusu suala hilo.

Kwanini suala la Bandari hadi sasa Chama kilichopewa dhamana na wananchi kuongoza taifa kiko kimya kulikoni.

Lakini Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete kwanini yuko kimya suala hili, tunakumbuka Mwalimu Baba wa Taifa wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi na Mkapa kulipotokea jambo lolote tete au gumu kwenye umma alikuwa akiitisha mkutano wa waandishi wa habari na kutoa mtazamo wake au uelekea kuhusu suala husika

Kwanini Mstaafu Kikwete yuko kimya kwenye suala hili ambalo ukilitazama ni kama litafikia mwisho mbaya, tunaona maoni ya wananchi wengi kwenye vijiwe vya kahawa, kwenye madaladala, kwenye mastendi, kwenye mabaa, makazini na hata kwenye nyumba za ibada na kwenye mitandao ndio usimeme na wengine waliitisha maandamano na wengine wakachukua njia ya kwenda mahakamani ili kutafuta hatma ya suala hili.

Chama cha Mapinduzi kina wajibu wa kuitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa kutoa msimamo kuhusu suala hili la Bandari.
Hakuna tamko zaid ya kuidhinisha jamaa waanze kaz!!
 
Wana Bodi,

Salaam, naomba kufahamu msimamo au Kauli au Tamko la Kamati Kuu ya CCM kuhusu mgogoro unaoendelea wa bandari, tunakumbuka mgogoro wa ufisadi mkubwa zaidi ya Trilioni 30 uliobanishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG ya mwaka 2021-2022 Kamati Kuu ya CCM Taifa ilitoa tamko kuhusu suala hilo.

Kwanini suala la Bandari hadi sasa Chama kilichopewa dhamana na wananchi kuongoza taifa kiko kimya kulikoni.

Lakini Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete kwanini yuko kimya suala hili, tunakumbuka Mwalimu Baba wa Taifa wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi na Mkapa kulipotokea jambo lolote tete au gumu kwenye umma alikuwa akiitisha mkutano wa waandishi wa habari na kutoa mtazamo wake au uelekea kuhusu suala husika

Kwanini Mstaafu Kikwete yuko kimya kwenye suala hili ambalo ukilitazama ni kama litafikia mwisho mbaya, tunaona maoni ya wananchi wengi kwenye vijiwe vya kahawa, kwenye madaladala, kwenye mastendi, kwenye mabaa, makazini na hata kwenye nyumba za ibada na kwenye mitandao ndio usimeme na wengine waliitisha maandamano na wengine wakachukua njia ya kwenda mahakamani ili kutafuta hatma ya suala hili.

Chama cha Mapinduzi kina wajibu wa kuitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa kutoa msimamo kuhusu suala hili la Bandari.
 

Attachments

  • D78704E4-0505-4113-8CC9-874CF8781EB1.jpeg
    D78704E4-0505-4113-8CC9-874CF8781EB1.jpeg
    115.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom