TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

Innalillah wainnaa ilayhi raajiuun
 

Attachments

  • 20251116_192827.jpg
    20251116_192827.jpg
    179.5 KB · Views: 15
Dah! Hatimaye kamfata mama yake kipenzi..!!

Tukiwaambia sura sio ndoa wabishi, hamjiulizi kwanini ndoa za wanawake wenye sura personal zinadumu?

Sema bibie soko litapungua, ujue mwanamke akiwa na mume ndo ananoga kuliko akiwa free..!!
 
Mmmh kweli hii?
TANZIA:

Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias, anayefahamika zaidi kwa jina la MC Pilipili, ameaga dunia leo, Novemba 16, 2025.

Kwa mujibu wa taarifa tulizopokea, MC Pilipili alikuwa safarini kuelekea jijini Dodoma kwa ajili ya shughuli yake ya ushereheshaji aliyopangiwa kuifanya jioni ya leo. Hata hivyo, kabla ya kufika katika eneo alilokuwa akielekea, alipatwa na umauti ghafla.
 
Back
Top Bottom