......................
Maulid kitenge
Humu ni ushabiki tu na kumchukia tu mtu..hayo makosa hata kama yapo ni 'common mistakes' hata Barua za kina Obama zina mistakes pia.......bado sijaona kosa la kiuandishi hapo upande wa Tarehe.
It's an immediate resignation notice,
Suala la kurudisha mshahara halina mjadala, kaliweka sawa sawa.
Mnaohoji template aliyoitumia leteni samples zenu hapa 'tuone' ya nani muafaka, otherwise wengi wenu mnalaumu kiushabiki tu.
#MosKwito !
atakuwa anajipanga kugombea ubunge Jimbo la Ubungo 2015.
'Hakuna tajiri asiye mnonyaji'... I mean sio wote, but ni wengi wao...Mengi anawanyonya sana wafanya kazi wake bora kitenge katambaa zake.
Barua Imejaa uungwana with a lot of class...
Tatizo wake wengi shekhe
mtu yoyote anaejiuzulu kwa 24 hrs notice si muungwana.
Atakuwa amepata kazi sehemu nyingine ama ashajipanga maana kulisha wake watatu mjini Dar es Salaam halafu kuacha kazi bila kujipanga unaweza ukashangaa kesho kajitundika
Kusomesha watoto ni jambo zuri sana..yaani jitu zima na akili zake eti linasema limejiuzulu!!!! Mxxxxxx halijui tofauti ya kujiuzulu na kuacha kazi!!
Wrong....kama muajiri Mpya anataka aanze kazi immediately.?...afanyaje?
Wanalipa kidogo ukilinganisha na sekta gani?
Labda ututajie kima chao cha chini cha mshahara ili tulinganishe na sekta nyingine.
Almost watanzania wanalipwa mishahara midogo iwe serikalini au binafsi .
Watu wanaishi kijanja janja tu,iwe kwa rushwa au wizi na dili nyingine ndio maana watu wakimbila ajira za serikali mana huko ni shamba la bibi la rushwa na wizi.
Mfano tu mfanyakazi wa sekta za kawaida tu za umma bado hajafikisha taking home ya kima cha chini sh.270,000/= kwa mshahara wa mwezi lakini wanabangaiza hivyo hivyo.
Kwa hiyo kulaumu IPP peke yao ni sawa lakini nimulike na mashirika na taasisi nyingine kwani huko nako kuna matatizo hayo hayo.
Cha msingi ni mtu kutafuta fursa ya kujiajiri ili kuongeza kipato vinginevyo utatoka kupitia rushwa na wizi tu.