Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Bwana kitenge, kwa muda wote huo, ulipokuwa ukifanya kazi, ulikuwa unasubiria mshahara mwisho wa mwezi. nahsi akili yako haikuumia sana kwasbb ulikuwa unajua tarehe flan kitaeleweka. sasa basi mimi kwa heshima kubwa sana ninakukalibisha kwenye ujasiliamali wetu. ila uku mambo yako hivi,

Ukiamka asubuh unawaza leo nitakula nini, wiki ikianza tu unawaza wiki hii nitaingiza kiasi gani, ukianza mwezi unajiuliza mwezi huu nitaingiza nini!! maswali hayo yakikuingia akilini yanakufanya uwe jasili na kuingia kitaa kuisaka shs.
karibu sana kwenye chama. bw Kitenge
 
10523320_10152325499543479_7980446177339854228_n.jpg


Efm
 
....bado sijaona kosa la kiuandishi hapo upande wa Tarehe.
It's an immediate resignation notice,
Suala la kurudisha mshahara halina mjadala, kaliweka sawa sawa.

Mnaohoji template aliyoitumia leteni samples zenu hapa 'tuone' ya nani muafaka, otherwise wengi wenu mnalaumu kiushabiki tu.


#MosKwito !
 
....bado sijaona kosa la kiuandishi hapo upande wa Tarehe.
It's a immediate resignation notice,
Suala la kurudisha mshahara halina mjadala, kaliweka sawa sawa.

Mnaohoji template aliyoitumia leteni samples zenu hapa 'tuone' ya nani muafaka, otherwise wengi wenu mnalaumu kiushabiki tu.


#MosKwito !

Makosa yapo chief moja ni signature pale kakosea sanaaaa!! Kama mwandishi wa habari kachemka
 
DJ MAJAY na mshkaji wake Dizzo naona wameamua .......Ila kukimbiza kupitia frequency za upande ule kazi yake si ndogo .....Watanzania hasa Dar hawataki tabu ....akitoka EA anasogea Clouds au Kiss then radio one .....lakini pia radio nyingi za magari hazifiki frequency zao .....Wanayo kazi ya kuhamishia watu wa Dar direction ile ......otherwise wanajitahidi ......
 
Back
Top Bottom