qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
- Thread starter
- #81
Huyu form 4 yake haijamsaidia.
Hhaha umeona hiyo barua kwanza tarehe ilipowekwa lol! Jamaa experience tu ndiyo inamsaidia sio elimu
Huyu form 4 yake haijamsaidia.
Barua Imejaa uungwana with a lot of class...
kabila linaingiaje hapo bana!!
Nimependa uandikaji wa barua, tarehe inawekwa kwenye anuani ya anayepewa barua!!!!!!
Nimependa uandikaji wa barua, tarehe inawekwa kwenye anuani ya anayepewa barua!!!!!!
Tatizo wake wengi shekhe
hii barua inanipa shaka kama huyu mwanahabari anayo taaluma ya "uhandishi wa habari"!!!"""
Maulid bhana sijui aliandika kwa hasira.
Mshahara hauwezi tunza wamama wanne.
Wewe Uchiboy. Huoni mapungufu kwa kijana mdogo kkuwa na wake wengi. rekebisha jina lako kwanza
Kawa mstaarabu tu kwa kumsitiri mwajiri wake ila ukweli ni kwamba lile chaka ninalipa kiduchu sana.