Source kutoka ITV saa nne kama na dkk 22 hivi wamesema Msimamizi wa uchaguzi keshapokea matokeo ya kata moja tu,na nimekuwa nikimsikia repoter wa ITV alieko Igunga,je mwenzetu umeyapata wapi?unaweza kuorozesha ni kata gani hizo kumi unazozizungumzia?hata hivyo nina mashaka coz ratio ulokuja nayo intofautiana sana kinyume na mtanange unavyokwenda,nimekuwa nikipiga hesabu kwa kuoanisha na wapiga kura waliojitokeza,ikumbukwe kwamba uchaguzi huu wapiga kura wachache sana wamejitokeza kwa mujibu wa matokeo ya vituo vilivykuwa vikitangazwa,tupe source na ututajie hizo kata.
Ila tunajua mmeshaanza uchakachuzi,kwani kama mpaka saa nne usiku huu ni kata moja tu iliyokuwa imeshakamilisha kuleta masanduku na kwa mujibu wa kura hizo CDM walikuwa wanaongoza,lkn kingine ukiona TBC na Star TV hawzungumzii hilo ujue bado hali si shwari,na kwa usiku huu najua ndo usiku wa kazi na mambo mengi ya shetani hufanyika wakati wa giza,hivyo ni wasaa wenu mzuri kujaribu kuanza uchakachuzi.
Certify taarifa yako sisi tutapokea.