Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Wewe mimi sio saizi yako tafuta wazee wenzako.
Mbona unalazimisha ligi na VIJANA?
kupumua alianza baba ako,then ukaja wewe, akaja mwanao now wajukuu.
Haijatosha bado?
punguza jazba kijana, huna ubavu wa kupambana na FF. UNAJITAFTIA BAN bure
 
Anajiona mdogo.
Mtu anawajukuu.
Kweli uzee kazi.
Hata cku zake zimekoma
Ila anajifanya mtoto.
Anasaka serengeti boy!


Pole sana, ushauri wangu kwako ni uleule, punguza stress kwa kupumuwa kwa njia zote uzijuazo.
 
FF usitumie nguvu nyingi kua hivo bali tumia akili na utashi tu, pole mama kwa kukuchoma.
 
Hapa nahisi kama habari zote zinatolewa kwa ushabiki tuu.......hata hivyo najua hakutakuwa na droo.......lazima chama kimojA kishinde tu.....ngoja tusubiri
 
bibie tangu uanze kufanya kazi kwa mwarabu basi husemi sentensi bila kutia neno 'tundu' au 'tunduni'

pole sana. tatizo ndo ilo.

waarabu hawatambui pua kama sehemu sahihi ya kupumulia, na wewe yaelekea walishakutengenezea njia nyingine ya kupumulia.

pole sana dada.


Njia mbadala ya kupumulia nnayo toka kuzaliwa, ubaya ni kwako unapoitumia yako kwa shughuli nyingine zaidi ya kupumulia. Pole sana.
 
Hii ni aibu kubwa kwa CCM na CUF waliokuwa na mizizi ya muda mrefu jimboni Igunga kupigana kumbo na CHADEMA ambacho hakikusimamisha mgombea miezi 10 iliyopita katika uchaguzi mkuu
 
Unasema kweli, Gaddafi aliingia madarakani kwa kupingua serikali, yeye alipopinduliwa hakuamini mpaka leo. Na kwa taarifa yako jamaa wakimkamata lazima wampoteze kama Saddamu.

Pia kwa signature yako unaonekana unashabikia watu waovu kama Osama, Saddamu, Gaddafi, Idd Amini, Gbagbo nk! Pole sana Kila unaemshabikia anafika mwisho na CCm inaelekea mwisho wake utabaki peke yako. Wenzako tulikwisha hamia CDM siku nyingi kwenye nafasi tele! Siyo unang'ang'ania ndani ya Beetle ya RA.

Kumbe ulihamia magwanda kufuata nafasi?Jee unanilazimisha nihamie huko?
 
Ila kuna kitu kimoja ambacho aidha ni Chama Cha Magamba wanakipropagate ama ni udhaifu wa siasa za upinzani hapa TZ. Hivi mwajua kama kwa wafuasi wa CUF hasa wenye ufahamu mdogo, wasio wachambuzi wa mambo, wengi wao ni Lindi na Mtwara sijui wale wa Tabora, kwamba bora ishinde CCM MAISHA YOTE YA SIASA ZA UPINZANI yaani Urais, Ubunge, Udiwani, KULIKO CHADEMA ICHUKUE HATA UENYEKITI WA KITONGOJI MAHALI.

Hivi ni lini waTZ tutaacha kutazama mambo kikabila na kidini? Kwanini tusiangalie mambo kwa uhalisia wake? Kwanini tusipime na kuchuja mambo kwa kuangalia Output? Kama anaweza apewe..si kwa kuangalia kabila au dini yake.. Mi sidhani kama ule msemo wa "if you can not win them,join them" unaapply kila mara. Ila nadhani CUF inaelekea kukosa dira. Pengine wakae na kujitathmini wanapoteleza. Na kuna haja ya kuwaeleza wafuasi wao dira waliyonayo,mtazamo na msimamo wao.

Kwamba wanasimama wapi katika siasa za upinzani hapa nchini. Wajua,cjui Ulaya ikoje ila nadhani Uingereza bila kuwa Anglican ni wakakini tosha kutopata go ahead na kugombea uongozi. Hata nchi za Kiarabu kuna nchi ambazo endapo wewe si Shia uongozi kwako ni ndoto, ama nyingine kama wewe si Sunni uongozi utausikia redioni. Nadhani ili kujenga jamii ya kistaarabu vigezo vya kukataa mtu au kikundi cha watu kwa kabila ama dini tuviondoe akilini mwetu..!
 
1.Mgagaa na upwa hali wali mkavu.
2.Pema hujapo pema ukipema si pema tena.
3.Wastara hasumbuki wa mbili havai mija
4.Mkataa pema pabaya panamwita
5.Mchukia kwao mtumwa
6.Mchimba shimo huingia mwenyewe
7.Mficha uchi hazai
8.Ukitaka cha mvunguni sharti uiname
7.Mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba
8.Usiache mbachao kwa msala upitao
9.Ukipenda boga penda na ua lake
10.Kuishi kwingi kuona mengi
11.People who live in glass houses should not throw stones
12.A leopard can't change its spots
13.Problem shared is problem halved
14.Why keeping a dog and bark yourself
15.A watched pot never boils
 
Bandugu,
kesho Mungu akipenda.
Nitaamka kama nitaweweseka.
Hapa naona zimebaki hadithi tu....
 
Mbwa mzee akibweka?
Ujue kuna seleka.
Kwel wewe hukubal mafunzo.
Ila ntakukunja kwa faida ya wana jf.

Na wewe nae una stress? fata ushauri niliowapa wenzako usione haya, kama huwezi mwambie aliyekaribu yako akusaidie.
 
Habar ya chadema kuongoza baadhi ya vituo vya kupigia kura ni habar njema kwa watanzania wote kwa kuwa watanzania wanahtaj mtetez wa kwel bungen na si mtu wa kutoa shukran juu ya rais na chama kwa kile kinachoonekana kujikomba/kujipendekeza kwa rais ili apewe uwazir.hawatufai hao magamba,tuyachome moto ili kizaz chetu kisalimike.je na huyo tyson apeleke afie mbele na uzee wake hatumhtaj watanzania.
 
Jamani nasikia kuwa matokeo ya kata za 24, tupeni update ukijumlisha matokeo hayo nani anaongoza?

Hakuna matokeo ya kata hgata moja ambayo yamekamilika! = chanel ten.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom