Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
ITV Live, ni kata moja tu kati ya 26 ndiyo iliyotoa matokeo; hawajasema ni chama gani kimeshinda majumuisho ya kata. Hata hivyo, habari za uhakika sinasema CDM ndiyo inayoongoza kwenye vituo vingi sana ! Peoples poweeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrrrrrr

V kubwa for Victory 2015 tulivue hili gamba la kenge
 
CDM Inaongoza kwa matokeo ambayo yameishapatikana kwa mujibu wa Mutabuzi ITV

Kaswali. Hivi sheria ya uchaguzi imebadilishwa?
Mtoa, mtangaza matokea (rasmi) ni ITV?

Mwanzoni, niliuliza jee Tume hii ya uchaguzi ni ile ya Lewis Makame na Kivura? Au imeundwa Tume huru ya uchaguzi hapa TZ?

Kama una majibu ya masuali haya basi lolote linaweza kutokea kama yaliyotokea wakati wa Uchaguzi mkuu.

Hatujaelewa bado kuwa tuna tatizo!! Hatuna tume ya uchaguzi..tuna Tume ya uchafuzi.
 
ITV LIVE... Mtagazaji akiri Novat Makunga atakuwa amepewa matokeo ambayo si sahihi,,,,,,sa yale magape aliyoyatoa yatakuwa na mushkeli

Kwa kweli hata mimi nilipigwa na butwaa, maana kata ya nkinga naifahamu vizuri. cdm wameongoza kijiji cha nkinga, ulaya na ikunguipina. ccm wameongoza kijiji cha ugaka kwa tofauti ya kura 99. kijiji cha mwakabuta na moyofuke sina taarifa zake. but mwakabuta ccm wanaweza kuongoza, moyofuke 50:50. kwa kweli nilishtushwa na matokeo ya yule kibaraka
 
matokeo kupatikana leo siyo rahisi.itv wameachana na habri za igunga.kwenye kata hawaruhusu kutangaza matokeo ya mbunge so kulinda maadili ya uandishi wa habari na kutovunja sheria za uchaguzi wameamua kusema matokeo yaliotangazwa na itv ni feki.wanajitoa kwenye lawama iwapo ccm wakichakachua na wakakamatwa wasijekusema eti itv ndo walitupa matokeo.mimi naamini kabendera hawezi toa matokeo feki coz alisoma yale yaliyokwisha bandikwa.baadae.mia
 
....kwani wanahitaji masanduku kuweza kujumlisha siyo namba au idadi ya kura?....mambo mengine yanaudhi sana....
 
U r laggard 'wait and see' ndo nyie mloliwa DECI

Hatuwezi wote kushabikia CDM hata iweje. Mimi siwezi kupanda DECI nikiwa na shida naingia bank within a week navuta hela nafanya mambo. Tufanyeni kazi tutafute pesa tusidanganyike CDM wakichukua nchi watakupa pesa mkononi, sahau...
 
cdm cdm cdm cdm peooooeplezzzz poweeeeeeer poweeeeeeeer
 
Nikijaribu kufuatilia jinsi matokeo yanavyotoka, inaniongezea imani ya kweli kuwa cdm ndo chama cha ukweli cha upinzani Tanganyika!
 
Sasa badala ya kutujuza kinachoendelea mnaanza kupeana mipasho. Hivi nyie wageni mnaojibizana na Faizafoxy mtu mwenye mwezi mchanga huyo, hamjui ukibishana na Lofa unakuwa kama yeye. Huyu kijana mwacheni anamatatizo
 
Hatuwezi wote kushabikia CDM hata iweje. Mimi siwezi kupanda DECI nikiwa na shida naingia bank within a week navuta hela nafanya mambo. Tufanyeni kazi tutafute pesa tusidanganyike CDM wakichukua nchi watakupa pesa mkononi, sahau...
lakini pengine watadhibiti mali asili inayo chakachuliwa kila siku na kusambaza huduma kwa ndugu zetu walio kosa shule, hospitali, barabara, maji na umeme..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom