Mzee
Platinum Member
- Feb 2, 2011
- 13,620
- 5,867
Ahahahahaah!! Ngoja nilale mie, maana sioni dalili za kujua matokeo leo!
hapa unaweza zimia kwa stress. Nimejaribu kulala ila usingizi hauji.
Ahahahahaah!! Ngoja nilale mie, maana sioni dalili za kujua matokeo leo!
We umekunywa maji ya bendera ya ccm unafikiri unalipi la kunieleza?
Unalipi la kunifunza?
Unalipi safi la kuigwa?
Una hadithi gani nzuri ambayo mjukuu wako ntaweza isikiliza toka kwako?
Una sifa gani njema ya kuigwa?
Unakinywa kipi kisafi chenye ulimi wa staha?
Unakipi wewe
A
J
U
Z
A??
Nna uhakika hizo ni "stress" za Igunga, pumua kidogo kwa kutumia njia zote za kupumulia, itakusaidia.
Hivi Nape yupo??....kwa mujibu wa taarifa za ki intelijensia ni kwamba ccm wanashinda. Kwani wamefunika mbaya vijiji...kama mnabisha muulizeni nape.
wewe bahaka wacha kutujazia thread tumechoka mbona hubadiliki kila siku uko kama jina lako au ndo unatafutia watu ban? ila leo umeingiza siku kuliko slave wote wa nepe nahisi nahisi bosi wako anafanya ukaguzi saa hizi hongera sana mwandani wa gamba kuu
Mi nalala bana
Its over. CCM retained the seat, as expected.
Once again, JF continue to defy reality. This place is a bubble. Humu ndani ukisoma unaweza kufikiria Chadema ni bonge la chama, na wanachukua nchi kesho.
Moderators please move this place back to where it belongs. The center. As it is, JF is a waste of platform.
We umekunywa maji ya bendera ya ccm unafikiri unalipi la kunieleza?
Unalipi la kunifunza?
Unalipi safi la kuigwa?
Una hadithi gani nzuri ambayo mjukuu wako ntaweza isikiliza toka kwako?
Una sifa gani njema ya kuigwa?
Unakinywa kipi kisafi chenye ulimi wa staha?
Unakipi wewe
A
J
U
Z
A??
jah wil bless the opressng side
Pole sana na kama hutaki kupumuwa, kaa ungoje matokeo ambayo yatakuzidishia hizo "stress".
Yaliwashinda Arusha! au umesahau?
source tafadhari,manake watu tunashindwa tushike lipi,mara kata 13 tayari mara kata 4 etc,nawe umeibuka na kata 10!yaani ni kizungumkuti tu!!!!
mmeo kala hasara,wanao wamekula hasara..kajifunze nidhamu ya maneno ukiwa mbele ya wanaume