Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,506
Kama Igunga.
kachomoa nipo ndafu nareport matukio.
Kama Igunga.
Hawa hawana maana kabisa..Tbc wanaonyesa Harusi kweli hiii ndio Danganyika ..
arsenal inashambulia km chadema igunga..arsn 1-1spurs
kweli leo wana igunga wamewamwaga, badala ya kuangalia na kusikiliza mtangazaji anasema nini wewe una munamuangalia yeye?
au hayo matokeo yana kukera sasa unataka kuua messanger
Chadema tumewapa mimba CUF na mume wao CCM. Hatuna mchezo
Ulitegemea nini kwa jinsi Mtatiro alivyo na kinywa kichafu kama choo cha stand??
Jamani huko mbeya kata zote mbili nzovwe na majengo udiwani zimechukuliwa na chadema, source, mtu kutoka mbeya.
Zito Kabwe
Chadema imeshinda kata za Endasak, Hanang na Masekelo Shy mjini #chaguzizaMadiwani23
Tofauti ya kura 358 ni ndogo sana,CHADEMA 2749,, CCM 2391 hadi sasa hawa jamaa wa CDM wanaongoza ,,,CUF ni aibu hata kuwaweka hapa japo jamaa alisema alikuwa na mtaji wa kura za mwaka jana.
Mi naona bado muda, kinachochezwa hapo ni mind game!! kwani idadi ya wapiga kura igunga ni kubwa mno, hivyo tusubiri hadi tutakapokuwa tumekaribia hiyo idadi. kwa sasa tuendelee kufanya kazi ya kulinda, kujmlisha na kuzirusha hewani kama tunavyofanya ili kusubiri sarakasi za CCM.
CUF wameharibu vibaya inabidi wajipange upya kwa kweli.