Wakati mwingine tuache upuuzi vituo vyote vinatangaza matokeo mbele ya wasimamizi wa vyama how can this happen!!! Tatizo lenu mnadhani ukianza kuongoza kitua cha kwanza basi unatakiwa kuongoza vyote siku zote kura za mjini zinakuwa za kwanza kutoka na mara nyingi vyama pinzani huongoza mjini... sasa ya vijijini yakija things changes hapa ndio mnasema kura zimeibiwa ni kujua mathematical aljebra ndogo sana kung'amua haya! Huwezi kusema ngome ni yako alafu unashida na kura 5, 10 au ishirini kwenye kituo... it is simple CCM imelamba jimbo.