Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
kuna jitu (siyo Wassira) moja la CCM huko lina roho mbaya, silipendi maana lenyewe linajua ushindi kwa CCM tu hata kama watu wafe. hili ni jitu baya sana ambalo kwa kweli linatakiwa kupelekwa The Hegue likabanwe naniliu na plaizi.
Mkuu sura yake inawakilisha roho yake.