Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Haya ss kawa wana JF hebu jumlishe kula zetu mapema na tumtangaze mshindi wetu!
 
Jamani zile habari nilizosikia awali humu kwamba viongozi wa CCM wameukimbia mji wa Igunga ni kweli? Tuthibitishieni hili wadau.
 
Arsenal wamesawazisha, Ramsey.......Igunga vipi?
 
CHADEMA 2749,, CCM 2391 hadi sasa hawa jamaa wa CDM wanaongoza ,,,CUF ni aibu hata kuwaweka hapa japo jamaa alisema alikuwa na mtaji wa kura za mwaka jana.
 
tottenham 1 -1 Arsenal (ramsey 51 min)
 
Tbc wanaonyesa Harusi kweli hiii ndio Danganyika……………..
 
Japokuwa CCM inashinda lakini CDM wamejitahidi sana, hii ni nzuri sana kwa Demokrasia ya kweli.
 
Safi sana,nadhan wananch wa igunga wamefanya maamuz sahihi..
 
wewe sema tu unapenda nyuma.

mbona saa hizi namuona kwa mbele?

Kweli anaoneshwa mbele kwa sasa, nilipomuona kwa nyuma nilifikiri toto la kiarabu kumbe ni orijino, hizi nywele za kununuwa zinatuchanganya.

Psss. Hapo kwenye nyekundu, nani asiyependa masaburi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom