Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Hivi huyu Fatuma wa ITV hana mbele? naona anaoneshwa nyuma tu, na suruali imebana masaburi kiasi cha kuonesha kuwa kweli yuko kazini.

kweli leo wana igunga wamewamwaga, badala ya kuangalia na kusikiliza mtangazaji anasema nini wewe una munamuangalia yeye?
au hayo matokeo yana kukera sasa unataka kuua messanger
 
Nausubiri kwa hamu sana ushindi wa cdm kwani hiyo itakuwa ni ishara murua ya kung'olewa kwa chama mfu cha magamba ifikapo 2015.
 
There are currently 1877 users browsing this thread. (483 members and 1394 guests)
tunaisubiri hii kitu kwa shauku
 
Wakati mwingine tuache upuuzi vituo vyote vinatangaza matokeo mbele ya wasimamizi wa vyama how can this happen!!! Tatizo lenu siku zote kura za mjini zinakuwa za kwanza kutoka na mara nyingi vyama pinzani huongoza mjini... sasa ya vijijini yakija things changes hapa ndio mnasema kura zimeibiwa ni kujua mathematical aljebra ndogo sana kung'amua haya!

Huwezi kusema ngome ni yako alafu unashida na kura 5, 10 au ishirini kwenye kituo... it is simple CCM imelamba jimbo.

Mkuu upuuzi gani tena huo wakati ni dhahiri kuwa CCM wametumia flawed voter registry?, Balozi wa nyumba kumi ana haki gani ya kuandikisha wapiga kura? na kuwajua yupi ni yupi?, Demokrasia gani hiyo?. CCM ni lazima wajitangaze wameshinda no doubt ila tally za kweli zinawasuta kuwa sasa wanapoteza ushawishi.

Ninakuhakikishia kuwa CCM wajitangaza wameshinda japo hawatashinda kwa kura halali za wana-Igunga ila mzimu huu utawaandama kila wakati mtakapokuwa mnasikia neno uchaguzi. The only way kwa CCM kushinda ni kuwapatia wananchi wote mazingira mazuri ya kujikimu na maisha yao.

Matumizi ya pesa si tu yataifanya CCM kuendelea kuwa chini ya wimbi la ufisadi bali yaifanya CCM isifanye mambo ya msingi kwa ajili ya nchi ili kuweka hazina ya kuwabakiza madarakani. Sooner or later CCM will be either will be a de facto ruling party or will be forced to relinguish power unwillingly.
 
Kama idadi ya wapiga kura iliyokuwa inatarajiwa ni zaidi ya 100,000 hatuwezi kujiaminisha kabisa kwamba ushindi tayari. Na kwa kadri walivyokabana koo uwezekano wa kujiaminisha kwamba ushindi upo ni mdogo sana. Lingekuwa jimbo lenye wapiga kura kama 3,000 au 5,000 tungeanza kushangilia.

Lakini kwa dalili ninazoziona uwezekano wa ushindi ni finyu mpaka nione matokeo ya kutoka kwenye 70% ya kata zote. Tutulie na kusubiria...na iwapo CCM watashinda tusikitike na kutafakari ni cha kufanya...BADO TUNA SAFARI NDEFU KATIKA SIASA ZA TANZANIA NA VYAMA VINGI
 
Kwa jinsi matokeo yanavyoeendelea Igunga hata kama ccm ingeshinda kitu ambacho ni kigumu bado inaonyesha wazi wazi kwamba 2015 ccm hawana lao. CCM has lost the mandate of leading this nation.

they are not ready to leave the cake Dr
 
Kwahakika hii mechi nikalisana,tokea lig ya uk ianze leo ndio kuna utamu mechi ina ushindani hasa,ball posession arsena 51 totenham 49.
 
arsenal inashambulia km chadema igunga..arsn 1-1spurs
 
this is the best demonstration,inawezekana kabisa kufanya mabadiliko.2015 ikizidishwa nguvu kidogo wanaondoka,hii siyo vita waTZ wanahitaji changes.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom