Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Walipangwa kufanya hivyo na JobWanapiga makofi mpaka jina la mtu likitajwa tu! Wanahribu hadi flow nzima ya mzungumzaji
Walipangwa kufanya hivyo na JobWanapiga makofi mpaka jina la mtu likitajwa tu! Wanahribu hadi flow nzima ya mzungumzaji
Hujajua huko CCM kwamba kuna kundi la JPM na kundi la SSH??kwani yeye mwenyewe siyo ccm? siyo mataga?
Wewe ndiyo MATAGA, Hiyo lugha ya "ni kitu kimoja" ni lugha ya siasa tu. Yeye hayuko huko. Anaongea kisiasa hamuwezi kumuelewa. Angalia matendo yake upate majibu. Jipange tu umkubali maisha yaendelee. The late is gone, and will never be back.kwani yeye mwenyewe siyo ccm? siyo mataga?
Video hii hapaWabunge wa CCM wamepiga makofi leo mpaka mikono yao imebakia na malengelenge kwa ajili ya unafiki wao. Roho zimewashuka Rais SSH aliposema atakuwa akikutana na viongozi wa vyama vya kwa ajili ya mazungumzo juu ya mustakabali wa amani ya nchi yetu.View attachment 1760640
Pole sana. JPM is gone for ever.Kwa nchi za kiafrika, mwanamke kukiongoza kiti cha uraisi kwa weledi inakuwa ngumu. Kwa sababu zifuatazo,
1: Sheria za utawala ni mbovu, katiba ni duni.
2: Vitengo vya ki-usalama na nyeti vya serikali na taifa kwa asilimia kubwa vimeshikiliwa na wanaume (Jeshi, Polisi, taasisi za intelligentsia, taasisi za ujasusi, taasisi za ushushu).
3: Mihimili ya serikali (Bunge na mahakama) vimeshikiliwa na wanaume.
4: Mitazamo dume kwa wanaume (Kuwa hatuwezi kutawaliwa na mwanamke).
5: Maamuzi ya wanawake (Mfano: Mama Banda kule Malawi, ndani ya miaka miwili kaanza kusema Ziwa nyasa ni lake).
Mwisho wa siku, unakuta mwanamke kiti Cha uraisi amekalia kama pambo nchi inaongozwa na wanaume vile vile.
YaiVizaTUANZE na wale waliotengeneza Mungu mtu wao ambaye sasa hivi anasubiri kupigiwa kura ya kuwa kiongozi wa malaika mbinguni. Hiyo kura atapata YAI.
Wala hata hajasema 6 bali ni 8. Halafu hii ni serikali ya muungano. Hivyo Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.Eti Atanunua MELI6 za.uvuvi
3 Zanzibar
3 Bara
Kwanini wazenji wasinunue zao??
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Huta shawishika kwa kuwa maslahi yako umeona yako mashakani kwani huamini katika yale anayoamini. Ili ushauri tu,neema inakuja mtazamo wako haukuwa sahihi.Sijui Kama namchukia au nimeadhirika na muziki wa mzee baba Magufuli.
Huyu mama sijui afanye nini ili nimuelewe.
Ila poa tu ngoja tuone.
Niko njiapanda kwa kweli.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app