Mbona MATAGA wengi tu wameishahama nchi mkuu? Mama Samia kawamaliza......hawana pa kutokea.CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.
Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
Kuna watu watakua na maisha magumu sanaPale alipomwambia Jaji Mkuu watoe hukumu za haki nilionanwabunge wa Ccm nyuso zimebadilika. Akawarudia polisi na magereza naon somo limesomeka. Ile kubambika watu kesi ina elekea mwishoni sasa.
Mungu amesikia maombi ya Watanzania.
Aisee.. Mods leo mna kazi!
Hapa itakuwa ni UbelgijiMataga![]()
Mama kapiga pande zote, kama yatatekelezwa Mungu ampe maisha mrefuPale alipomwambia Jaji Mkuu watoe hukumu za haki nilionanwabunge wa Ccm nyuso zimebadilika. Akawarudia polisi na magereza naon somo limesomeka. Ile kubambika watu kesi ina elekea mwishoni sasa.
Mungu amesikia maombi ya Watanzania.
Walizoea vya kunyonga na sasa ni mwendo wa halal,wanatafuta sehemu ya corner wafanye U turn.Wana shida siyo kidogo.CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.
Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
Hapana umekosea mkuu!! yeye ni ''classmate'' haaahaaaakwani yeye mwenyewe siyo ccm? siyo mataga?
Nae pia ni Mataga. Ila anawafundisha Mataga wenzie siasa za kistaarabu na sio zile za kejeli vijembe na matusi. Siasa hizo zimekwenda na mwendazake. Sasa hivi ni kujenga hoja. Siyo kutumiana watu wasiojulikana.kwani yeye mwenyewe siyo ccm? siyo mataga?
Nyerere alikuwa CCM, ndio mwanzilishi, Mwinyi ccm, Mkapa ccm. Kikwete ccm, Magu ccm, Samia Ccm. Upo hapo?Kwani mama ni chama gani?
Na wabunge wao ni wanafiki wamegonga meza hadi mikono imeota sugu.
Tuna wabunge sio wa dunia hii, kuimba, kusimama, makofi hata sehem isiyo ya makofi,alafu ukute mpaka mda huu wameisha sahau hata hotuba yenyewe
Hata sijui Mwl wao anafafanajeWanapiga makofi mpaka jina la mtu likitajwa tu! Wanahribu hadi flow nzima ya mzungumzaji
Ishu siyo CCM. CCM ishakufa mbona? Ishu ni personality ya Rais. Magufuli alipotangaza kuviua vyama vya upinzani, haikuwa sera ya CCM. Ilikuwa sera ya Magu. Samia anakiri kwamba bila demokrasia na uhuru wa habari na mawazo, hatuwezi kuwa na maendeleo ya kweli. Usisahau hiyoAnapiga mziki wa CCM wanapagawa wapinzani
Hapa Ni Wapi Vile?Kwani mama ni chama gani?
Hujajua kwamba CCM iko makundi mawili? Hujaona huko bungeni wabunge wa CCM wakiparuana kuonyeshana upendo kwa JPM na wengine kwa SSH hadi mama akaingilia kati kwamba hao wawili ni "kitu kimoja" ??Kwani mama ni chama gani?
Hawatoweza.ila awakwepe akina bashite kuwapa vyeo.CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.
Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
Hakuna point waliyoichukua pale, kelele za mapambio na sifa zilizidi mno. Halafu bado tuseme wanatuwakilisha wakati inabidi tujisikilizie wenyewe bila huo "uwakilishi" wao.Tuna wabunge sio wa dunia hii, kuimba, kusimama, makofi hata sehem isiyo ya makofi,alafu ukute mpaka mda huu wameisha sahau hata hotuba yenyewe