M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,808
- 117,784
Lisandro Martinez
Lisandro Martinez
View attachment 2939198
Utapeli hauishi dunia hii.Huyu lisandro ikifika international break anakua sawa ligi ikirejea anapiga gama zake mbili tu za kibabe anarudi hodini mpka international break Tena nyengine
DadaaB... uwe unaniomba niwashangilie kila siku, sawa eeeh?
Mdakuzi
Ilikuwaje mkamsajili Sterling ?Wazee leteni pesa kidogo tuwauzie mashine ya kazi STERLING kufidia hasara ya MOUNT.
Utafutwe unyongwe wewe sio bureWazee leteni pesa kidogo tuwauzie mashine ya kazi STERLING kufidia hasara ya MOUNT.
Utafutwe unyongwe wewe sio bure
Tushafungwa na liverpool anacheza counter attack no way lazima ujilipue.Yaani kocha aliwaza nini akawarudisha winga...kiungo mshambuliaji nyuma??
Mjuzi yyt tafadhali
Natamani wakimfukuza Kipara wampe timu Southgate....hyu atawasogeza kidogo ManunuAfter ETH anayefata ni tapeli Southgate
ETH hafukuzwiNatamani wakimfukuza Kipara wampe timu Southgate....hyu atawasogeza kidogo Manunu
Ogopa mataperi, babu kipara bado yupo sana pale kwenye vitofali vya kuchoma.Natamani wakimfukuza Kipara wampe timu Southgate....hyu atawasogeza kidogo Manunu
Hamchukui point 3 nyumbani kwetu, tunakupasua bao 2 na kukukatisha tamaa mazima.Erik 7+3hag kila press yake lazima aitaje Arsenal
Mwambieni hapo OT tutampiga biila Ganzi ili awe anatuota kabisaView attachment 2941663
Ndo tunavyopenda...maana ni Comedian mzuri sanaOgopa mataperi, babu kipara bado yupo sana pale kwenye vitofali vya kuchoma.
Huyo Southgate ni kibaka tu kama Pochettino.
Sijui chochote lakini man u tunaweza kumfunga yyte EPLHamchukui point 3 nyumbani kwetu, tunakupasua bao 2 na kukukatisha tamaa mazima.