Tatizo la Erik Ten Hag timu haina rest defence DM wanalazimika kucover eneo kubwa sana kuliko kawaida that's why tunaconceed shots nyingi sana
UTD Pia ina shida kwenye FFP kwa hiyo kuna uwezekano Pia kushindwa fanya sajili nyingi. Kuna wachezaji tegemezi ila kama wameshakuwa mzigo Akiwamo SHAW. Tunaweza enda enda nae kumkomaza HARRY AMASS.

Academy imekuwa jibu sana kwa miaka mingi. Amass anaweza kuja okoa Pesa Mingi. INEOS wafanye namna tumpate yule Melvin Bard hata kwa 25m kwenye ile timu yao. Upande wa Kushoto umekuwa tatizo sana msimu huu.

Tatizo la Rest Defense ni kwa sababu Pia hatuna CB's wanaokuwa wazuri kuzuia zile wide channels 1v1 {VVD, DIAS, SALIBA, n.k} na kuanza mashambulizi hapo hapo, Pia DM Mwenye uwezo wa kufanya Screening ~ Casa sio Yule tena, Imefanya tumekuwa na aina ya magoli ya kufanana inapigwa "V" Cut back, Opponent anachagua tu Angle hana wa kumghasi inaishia kuwa Deflection ama GK kuangalia tu. Sajili tunahitaji 1st 11 kwa Kuanzia {RCB, DM, RW, (Hybrid LCB n LB)}
 
Kobbie mainoo ameitwa timu ya wakubwa
1710862362218.png
 
UTD Pia ina shida kwenye FFP kwa hiyo kuna uwezekano Pia kushindwa fanya sajili nyingi. Kuna wachezaji tegemezi ila kama wameshakuwa mzigo Akiwamo SHAW. Tunaweza enda enda nae kumkomaza HARRY AMASS.

Academy imekuwa jibu sana kwa miaka mingi. Amass anaweza kuja okoa Pesa Mingi. INEOS wafanye namna tumpate yule Melvin Bard hata kwa 25m kwenye ile timu yao. Upande wa Kushoto umekuwa tatizo sana msimu huu.

Tatizo la Rest Defense ni kwa sababu Pia hatuna CB's wanaokuwa wazuri kuzuia zile wide channels 1v1 {VVD, DIAS, SALIBA, n.k} na kuanza mashambulizi hapo hapo, Pia DM Mwenye uwezo wa kufanya Screening ~ Casa sio Yule tena, Imefanya tumekuwa na aina ya magoli ya kufanana inapigwa "V" Cut back, Opponent anachagua tu Angle hana wa kumghasi inaishia kuwa Deflection ama GK kuangalia tu. Sajili tunahitaji 1st 11 kwa Kuanzia {RCB, DM, RW, (LCB n LB)}
Sisi fullbacks wetu hawa invert kuingia kwenye midfield tukiwa tukienda kushambulia tunapoteza defensive shape yetu kwa sababu ya wachezaji wengi kutokuwa wazuri individually
 
Huyu mwanahisa mpya wa manchester united akimpa kazi Southgate kuwa kocha wa manchester united itaniproove kuwa waingereza wa sasa ni watu wajinga tu


Southgate akiwepewa kazi kuwa maneja wa manchester united basi tutatarajie itachukua miaka mingine kumi na tatu kutafuta taji la EPL

Naomba ziwe tetesi tuu
 
Yaani kocha aliwaza nini akawarudisha winga...kiungo mshambuliaji nyuma??

Mjuzi yyt tafadhali
Tushafungwa na liverpool anacheza counter attack no way lazima ujilipue.

Mana hatuna cha kupoteza, na tushafungwa so tutafute kupambana.

Matokeo yake kila mtu alokuwa ndani ana mentality ya mbele ndo kilichotokea, timu zote bora kwa epl ambazo ni liver na man city ukizipelekea moto kila mara hupaniki.

Mawazo yangu bro.
 
Back
Top Bottom