El Tiger
Member
- Aug 15, 2018
- 96
- 519
UTD Pia ina shida kwenye FFP kwa hiyo kuna uwezekano Pia kushindwa fanya sajili nyingi. Kuna wachezaji tegemezi ila kama wameshakuwa mzigo Akiwamo SHAW. Tunaweza enda enda nae kumkomaza HARRY AMASS.Tatizo la Erik Ten Hag timu haina rest defence DM wanalazimika kucover eneo kubwa sana kuliko kawaida that's why tunaconceed shots nyingi sana
Academy imekuwa jibu sana kwa miaka mingi. Amass anaweza kuja okoa Pesa Mingi. INEOS wafanye namna tumpate yule Melvin Bard hata kwa 25m kwenye ile timu yao. Upande wa Kushoto umekuwa tatizo sana msimu huu.
Tatizo la Rest Defense ni kwa sababu Pia hatuna CB's wanaokuwa wazuri kuzuia zile wide channels 1v1 {VVD, DIAS, SALIBA, n.k} na kuanza mashambulizi hapo hapo, Pia DM Mwenye uwezo wa kufanya Screening ~ Casa sio Yule tena, Imefanya tumekuwa na aina ya magoli ya kufanana inapigwa "V" Cut back, Opponent anachagua tu Angle hana wa kumghasi inaishia kuwa Deflection ama GK kuangalia tu. Sajili tunahitaji 1st 11 kwa Kuanzia {RCB, DM, RW, (Hybrid LCB n LB)}