Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila hii timu yetu aaiseee
Kono la nyani leo lilikua linatuhusu ni vile tu Brentford bahati haikua upande wao.
Haya tunapata goli la kimazabe mazabe dakika za lala salama halafu tunashindwa kushikilia bomba hata kwa dakika mbili
Ni vile tu maandiko yanasema Wanaume tutakula kwa jasho halafu Arsenyau watazaa kwa uchungu kila inapofika mwisho wa msimu.
485889983.jpg
 
Brentford will be wondering how they haven't won the game..

85 touches in Manchester United's box- two off the record set by Manchester City.

31 shots on #MUFC's - first time since 2015 they have had more than 30 shots in a game.
Snapinsta.app_434996065_286615311135266_641497349763638978_n_1080.jpg
 
UNAI EMERY alipoleta mpira wakijinga wakupigiwa msako wa nyani ,shots 30+

Mashabiki Arsenal walipamba uwanja wa Emirates na mabango yenye ujumbe NO TACTICS NO FORMATION NOWHERE TO HIDE

Wengi tuliamini hili tatizo sio la mmiliki ,mmiliki ana matatizo yake na KOCHA ana matatizo yake ,

Leo Man u fans wengi wanadai ETH hana tatizo ,Bali na Grazzer family tu
20240331_012755.jpg
images%20(3).jpg
 
Brentford ana touches 85 ndani ya box la manjesta

Ina maana kila baada ya dakika 1 jamaa walikuwa wanafika ndani ya box la Manjesta,

Hii ni hatari sana


Wanasema ni record kwa kipindi hiki cha miaka mitano


Imagine hii timu ya aina gani ,ni mbovu kiasi gani

Kila dakika upo golini kwao


20240331_010835.jpg
 
Brentford ana touches 85 ndani ya box la manjesta

Ina maana kila baada ya dakika 1 jamaa walikuwa wanafika ndani ya box la Manjesta,

Hii ni hatari sana


Wanasema ni record kwa kipindi hiki cha miaka mitano


Imagine hii timu ya aina gani ,ni mbovu kiasi gani

Kila dakika upo golini kwao


View attachment 2949598
Nilikupinga kuhusu ten hag ila sasa naona.

Hakuna kocha pale.
 


Jana ETH katupumzisha Arsenal ,kawarukia man city


Anasema hata man city walibahatisha kwa Brentford

Aloo hapa kocha mnae



"City were LUCKY to beat Brentford"

Ten Hag after manutd somehow escape with a point at the Gtech

youtube.com/watch?v=k65Hbz…
 
Back
Top Bottom