Lakini huwezi kuamini kuwa hii mechi Liverkuku alikufa pamoja na kumpanga Bruno na Anthony kwenye backline ya United. Mpira ni mbinu ya kupata point 3 mkuu usilazimishe wote tucheze Artetaball.Ni wachache sana tuliona utapeli wa huyu jamaa
Hapa wanasingiziwa Grazzer family
Na hii ni week and week
View attachment 2945306
Tunazungumzia kushinda au tunazungumzia utapeli?Lakini huwezi kuamini kuwa hii mechi Liverkuku alikufa pamoja na kumpanga Bruno na Anthony kwenye backline ya United. Mpira ni mbinu ya kupata point 3 mkuu usilazimishe wote tucheze Artetaball.
Sijui nikwambie ukweli au nikuache tu uendelee kujidanganyaKama huyu 10 na wa AJAX ni mtu mmoja, amini kwamba jamaa ata turn things around akipata back up ya kutosha kwenye upande wa management. United ya leo star wetu ni Rashy mtu ambaye ukimuweka sokoni leo timu kubwa hawasumbuki naye na akichukuliwa ataenda timu kama Galatasaray.
Kama sikosei unafuatailia usajili wa kiutawala anaofanya tajiri mwembamba kama maandalizi ya kusuka United ya kutawala Ulaya miaka 10 ijayo.
Inatisha sana.
SchneiderJamaa alipendekeza usajili wa alphonse davis akiwa bado hajabaleghe, klabu ikakataa.
View attachment 2947523
View attachment 2947524
Manchester kama Nchi yetu tu matapeli wengi, mafisadi wakutoshaSchneider
Modric
Hazard
Kroos
Company
Hizi ni sajili ninazozikumbuka ambazo hazikufanikiwa kukamilika kwenda United.
Bila shaka kama zingekamilika Man City asingedominate ligi kwa kiwango cha kutia aibu namna hii.
Kuna wachezaji wengi sana wa maana huwa wanakuwa scouted kwenda United ila mwisho wa siku watoa fedha hushindwa kutimiza majukumu yao.
Manchester na Simba sports wananitesa sana kwenye suala la usajiliManchester kama Nchi yetu tu matapeli wengi, mafisadi wakutosha