Soma ubao huko wazungu huwa wanasema, it's not over until it's over.Martial
Ronaldo
Rashford
Cavan
Still no results
Swala ni ushindi haijalishi umeshindaje.Bado ushindi ni wa kubahatisha!
Great,Soma ubao huko wazungu huwa wanasema, it's not over until it's over.
Ni kwasababu haujaangalia mechi.Bado ushindi ni wa kubahatisha!
Chelsea ajichunguze.
Hata aibu huna michezo 22 kwa 20 unalinganishaje?
Somaaa hiyoTunaendelea kubana koro...ni
Sasa ni dakika ya 80
Ni kwasababu hatuwezi kukupa hizo point za michezo miwili ambayo haujacheza, mpaka ushinde.Hata aibu huna michezo 22 kwa 20 unalinganishaje?
Wenye timu yao wameshaanza kurudisha makali golini eehKidogo leo tumecheza kiasi fulani sema goal creation ni tatizo..
Fred bado anacheza ujinga ujinga tu.
Aiseeh beki zimenifurahisha sana leo, Dalot na Telles wanafanya Maguire na Rafael wasiwe na kashikashi kitu ambacho huwa kinafanya wachomeshe.Mchezo mzuri toka mwanzo.
Leo upepo haukukata kipindi cha pili.
Kuna maendeleo toka kwenye timu game after game. Na hata mchezaji mmoja mmoja nimeona mabadiliko kasoro Greenwood mchoyo.
Maana ya kumiliki mpira nayotuelezea Ralf tumeiona leo.
GGMU
Lile goal letu linautata sema ndo mechi ishaisha iyo rafa atapambana na shirika la mpira huko.
Rahisi sana mkuu;Aiseeh beki zimenifurahisha sana leo, Dalot na Telles wanafanya Maguire na Rafael wasiwe na kashikashi kitu ambacho huwa kinafanya wachomeshe.
Sijui kwanini Ole alikuwa anawapiga benchi.
Greenwood anatafuta sifa sana yule dogo.Tumecheza vizuri sana leo.....unaona wachezaji wanapambana na kuhimili mikiki mikiki.....
Fred amedrop sana kwenye form
Greenwood bado mchoyo sana, na anapoteza mipira bila sababu, kocha amtie adabu
Ni duo ipi unaikubali?Rahisi sana mkuu;
1. wanacheza nafasi za shaw na awb
2. Ole ni defensive zaidi huku akitegemea kaunta