Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni duo ipi unaikubali?

Dalot& Telles au Shaw&Bissaka.
Bila shaka Man United ni timu kubwa hivyo inatakiwa kucheza kwa mamlaka kama ilivyocheza leo.
Upande wa kulia namba ni ya Dalot labda kama tutakuwa na mchezaji pinzani tunataka kumficha AWB atacheza.
Upande wa kushoto Telles ni mwepesi ingawa hawazidiani sana ubora wao na Shaw. Hivyo mwalimu atakuwa anawapanga kulingana na matakwa yake.
 
Mchezo mzuri toka mwanzo.
Leo upepo haukukata kipindi cha pili.
Kuna maendeleo toka kwenye timu game after game. Na hata mchezaji mmoja mmoja nimeona mabadiliko kasoro Greenwood mchoyo.
Maana ya kumiliki mpira nayotuelezea Ralf tumeiona leo.
GGMU
Greenwood anakera sana, sijui kwanini hakui ana kipaji sana huyu dogo.. all in all kiasi leo team imebadilika, makosa yapo ila kwa kiasi fulani unaona watu wanabadilika.. point 3 muhimu sana za leo
 
Magwaya leo naona kwangu ndo man of the match amezuia sana leo hafu ajafanya ujinga ujinga kiufupi leo kaupiga mwingi.
Sio siri hata mimi leo amenifurahisha, ila mwanzo nilipomuona kwenye orodha ya kikosi cha leo nilikosa amani kabisa.
Kiufupi hawa wahuni wakisugua benchi kidogo akili zinaanza kuwakaa sawa hapo ni RR asicheke na nyani kabisa aendelee tu kupiga spana mpaka wote watarudi kwenye mstari.
 
Ifike muda greenwood aanzie benchi. Huu Ujinga umezidi.

Martial licha ya Ubishoo hana ubinafsi kivile na analink nzuri nampongeza kwa mechi ya Leo ila afocus na mpira aache ubishoo na drama.

Ronaldo bana aaah nisiongee nisije popolewa mawe.

Timu bado sana tunahitaji improvement ya ukweli hasa offensively.

Hongera wakuu kwa Ushindi.
 
Kuna mtu pia atasema hata Maguire au Fred wakienda City watacheza vizuri..

Tusitafute excuses nyingi..

Udhaifu wa Ronaldo ni kwenye general link-up play..kashachoka..tukiukataa huu ukweli tutakuwa tunafanya makosa makubwa.

Next season kama atakuwepo basi inabidi awe mtu wa kucheza dakika 20 na mechi chache..Tutafute proper no9 mwenye quality zote.
Mkuu umeongea kila kitu in a summarized way👏
 
Ifike muda greenwood aanzie benchi. Huu Ujinga umezidi.

Martial licha ya Ubishoo hana ubinafsi kivile na analink nzuri nampongeza kwa mechi ya Leo ila afocus na mpira aache ubishoo na drama.

Ronaldo bana aaah nisiongee nisije popolewa mawe.

Timu bado sana tunahitaji improvement ya ukweli hasa offensively.

Hongera wakuu kwa Ushindi.
Link-up play ndo kila kitu kule mbele..
 
Declan Rice ni mwingereza ndio lakini angekuwa anapatikana na bei chini ya £50m ingemake sense aje old trafford..siwapendi sana waingereza kwa sasa lakini huyu dogo ana umakini sana pale katikati na anajua kujiposition sana.
 
Back
Top Bottom