Maishanimagumu
JF-Expert Member
- May 9, 2020
- 258
- 578
Kidogo sana mkuu, In short jamaa huwa anakuwa pedestrian for majority of the 90 minutes, hawezi kujitengenezea nafasi za kufunga, 1v1 ndo kabisaa.. hana utofauti na Lukaku kwa sasa.Leo Ronaldo kaimprove sana. safi sana.
almost every player was at the top, top notch performance today.
Great.
Kuna muda mpaka commentators walikuwa wanam criticize anafanya simulation. Badala ya kucheza mpira, anasubiri contact kutoka kwa opponent ili aanguke.
Nadhani pia ni muhimu kumtoa kwenye upigaji wa free kick. Conversion rate yake imepungua mno, ni either apaishe au agonge ukuta. Ego yake inatufanya tukose magoli ya free kick. Hayo majukumu aachiwe Bruno tu.
Nasubiri kwenye mechi kubwa(vs. Chelsea, Man City au Liverpool) nione kama kocha atampanga.