Kwn wewe kweny jukwaa la man umefata nnAcha ushabiki Mzee Kwahyo unasema Mendy hajawahi kufanya saves ..Ila n mabeki ndo wanazuia??!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nimekuja kucheki picha za warembo wakali world wideKwn wewe kweny jukwaa la man umefata nn
Ooh kumbe umetufata mabwana wenuNimekuja kucheki picha za warembo wakali world wide
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Bro huelewi Kiswahili NI picha za warembo wakali worldwideOoh kumbe umetufata mabwana wenu
Manchester united inacheza leo na dunia yote kuna furaha![]()


Ally hua nnaukubali sana msimamo wako kuhusu furaha ya dunia, hua hauyumbi wala hautetereki.Nakubali CR7 ni tatizo kwa United lakini sio tatizo kubwa kama unavyolizungumza I think una personal issue naeSasaaa, wewe unaona mfumo wa kocha unaruhusu kuwa na mchezaji aina ya Ronaldo, nimemsikia anazungumzia mambo ya counter attach, unamuona Ronaldo ana counter attach?
Anazungumzia intensity, being physical etc, unaona Ronaldo anahizo profiles? sasa kwa nini apangwe?
mimi nimekuelewa kwenye issue ya kwamba mkataba unataka lazima apangwe, tena labda unasema lazima acheze dakika tisini (sababu sio kwa kung'aka kule): sasa kama anaona masharti ya mkataba yanakiukwa basi achukue maamuzi?
na kama ni issue ya mshahara, nadhani we can afford the losses, akae benchi. Akae pale benchi mpaka atie akili, Kocha akiona akili yake inatengemaa, kuanzia beheviour mpaka kujiprofile na mfumo wa kocha, ampange, no problem.
lakini mimi ningependa sana kusikia kaambiwa anakaa bench kwa sababu ana negative characters, tena awekwe chini ya uangalizi wa wale masaikologists.
Aaambiwe, kwa sababu ile ni timu, how he relates with his colleagues ni very important kuliko yeye kufunga, aonyeshwe na namna tumefunga goli tano in past two matches na hakufunga yeye.
Ni muhimu mkuu kwani nasema uongo ndugu zangu.Ally hua nnaukubali sana msimamo wako kuhusu furaha ya dunia, hua hauyumbi wala hautetereki.
Na ndio captainKwahiyo leo kilaza Maguire ataanza?..itakuwa tough to watch.
Anyway...GGMU.
Mangi leo ni Man U 1-3 Westham.Kwahiyo leo kilaza Maguire ataanza?..itakuwa tough to watch.
Anyway...GGMU.
Nimeuona, ni mshenzi.Nadhani wote mnaona ujinga wa huyu dogo greenwood