Huyu Rangnick kumbe mrembo tu..sasa alikuwa anamuomba msamaha wa nini Ronaldo?..

Sub yake ya kumwingiza Maguire ilikuwa ni ya hovyo ndio ila hakupaswa kumbembeleza Ronaldo.
 
Bora Ole kuliko huyu anae Vaa miwanj ya mbao.
Huyu wa sasa ni merit based coach.

Huleti impact unakaa au kuanzia bench.

Ole anakupanga kufurahisha waingereza. Kuna mafaza walikuwa na namba za kudumu Man Utd bila kujali output yako.

Sahivi kama hujafanya vizuri mechi hii, mechi ijayo unaanzia benchi au huchezi kabisa. DeGea pekee ndo mwenye uhakika 100% wa namba so far.
 
Bora Ole kuliko huyu anae Vaa miwanj ya mbao.
Huyu wa sasa ni merit based coach.

Huleti impact unakaa au kuanzia bench.

Ole anakupanga kufurahisha waingereza. Kuna mafaza walikuwa na namba za kudumu Man Utd bila kujali output yako.

Sahivi kama hujafanya vizuri mechi hii, mechi ijayo unaanzia benchi au huchezi kabisa. DeGea pekee ndo mwenye uhakika 100% wa namba so far.
 
Bora Ole kuliko huyu anae Vaa miwanj ya mbao.
Huyu wa sasa ni merit based coach.

Huleti impact unakaa au kuanzia bench.

Ole anakupanga kufurahisha waingereza. Kuna mafaza walikuwa na namba za kudumu Man Utd bila kujali output yako.

Sahivi kama hujafanya vizuri mechi hii, mechi ijayo unaanzia benchi au huchezi kabisa. DeGea pekee ndo mwenye uhakika 100% wa namba so far.
 
Telles na Dalot ni wazuri kwenye kumpandisha team kwenda kushambulia , shida yao wakipanda wanapanda wote hawarudi kwa wakati. Hii duo ya Telles na Dalot ni nzuri kuliko ile ya Bissaka na Shaw.

Eneo la katikati viungo wanapoteza sana mpira,haswa Mactominay.

Greenwood na Elanga bado wanahitaji muda, maana dribbling zao ni za kupotezae muda tu.
 
Huyu Rangnick kumbe mrembo tu..sasa alikuwa anamuomba msamaha wa nini Ronaldo?..

Sub yake ya kumwingiza Maguire ilikuwa ni ya hovyo ndio ila hakupaswa kumbembeleza Ronaldo.
Ni either umuondoe Ronaldo kwenye team yako lab sivyo utambembeleza tu, unashangaa huyu akati kuna yule mwingine aliposusia team ya taifa alibembelezwa hadi na serikali licha ya Argentina kujaa mastaa kibao.

Hamuwezi kuelewa ukubwa wa hao miamba wawili kwenye soka.
 
Build up ya Goli la tatu, alichokifanya McTomminay ndicho tunahitaji week after week from kiungo ili tuwe threat zaidi na mambo ya back passes yafe. Tutafute kiungo sasa.

Maguire aendelee benchi.

Alafu Ronaldo aache ufala, sasa si alikua mzito mbele akipewa penetration passes anazidiwa mbio na mabeki.

Anyway licha ya Rashford kufunga. Haka katoto nakachukia sana kanavyoshindwa kukaba na kanapotezea mpira unampita.
Piga benchi.

Hatuwezi pata mshambuliaji mmoja na kiungo mmoja wa kazi kazi ili mambo ya kubembeleza na kuchekea watoto yaishe.

Tukipata mshambuliaji wa kazi kazi it's no doubt hakuna kubembeleza Ronaldo, maana kinachofanya awe hivyo naamini ni pale anapotolewa alafu unaingiza watoto waliojaa utoto kina Rashford ambao output yao hata haieleweki, mentality zero

So anaona kama Dharau, ila kukiwa na mtu wa ukweli ataomba kuondoka summer.

N.B. sipendi mchezaji awe mkubwa kwa team. Anaharibu atmosphere ya timu.
 
Build up ya Goli la tatu, alichokifanya McTomminay ndicho tunahitaji week after week from kiungo ili tuwe threat zaidi na mambo ya back passes yafe. Tutafute kiungo sasa.

Maguire aendelee benchi.

Alafu Ronaldo aache ufala, sasa si alikua mzito mbele akipewa penetration passes anazidiwa mbio na mabeki.

Anyway licha ya Rashford kufunga. Haka katoto nakachukia sana kanavyoshindwa kukaba na kanapotezea mpira unampita.
Piga benchi.

Hatuwezi pata mshambuliaji mmoja na kiungo mmoja wa kazi kazi ili mambo ya kubembeleza na kuchekea watoto yaishe.

Tukipata mshambuliaji wa kazi kazi it's no doubt hakuna kubembeleza Ronaldo, maana kinachofanya awe hivyo naamini ni pale anapotolewa alafu unaingiza watoto waliojaa utoto kina Rashford ambao output yao hata haieleweki, mentality zero

So anaona kama Dharau, ila kukiwa na mtu wa ukweli ataomba kuondoka summer.

N.B. sipendi mchezaji awe mkubwa kwa team. Anaharibu atmosphere ya timu.
Ronaldo alikua anacheka.

Akipata mpira anaugusa kama ugali wa moto anaupoteza.

Ni weak link kwa united
 
Telles na Dalot ni wazuri kwenye kumpandisha team kwenda kushambulia , shida yao wakipanda wanapanda wote hawarudi kwa wakati. Hii duo ya Telles na Dalot ni nzuri kuliko ile ya Bissaka na Shaw.

Eneo la katikati viungo wanapoteza sana mpira,haswa Mactominay.

Greenwood na Elanga bado wanahitaji muda, maana dribbling zao ni za kupotezae muda tu.
Siyo Mc Tomminay boss, aliyepoteza sana mipira ni Fred, hawezi kupiga ata simple passes. Na ule ufupi wake unamfanya awe kimeo kwenye kupambania mipira ya juu
 
Back
Top Bottom