Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,447
- 5,301
We jamaa bhana, kwahiyo makipa wote bora wanapimwa pale team inaposhambuliwa tu au sijakuelewa point yako?De gea anaonekana Kwa sababu timu inashambuliwa na wapinzani wanapiga mashutii.
Timu ingekuwa inashambulia,de gea asinge kuwa anaonekana na wachezaji wa ndani NDIO wangekuwa wakionekana wanapiga kazi.