✓Jana kikosi chetu kilichoanza kilikuwa na waingereza wawili tu..good.
✓Bado wachezaji wetu hawawezi kucheza kwa intensity na high physicality..dakika za mwanzo za game ya jana ni ushahidi.
✓McTominay inabidi awe anacheza kama alivyocheza jana..Fred anatoa assist game ya tatu hii mfululizo lakini aisee amedrop sana..kiufupi kiungo chetu bado sana.
✓Telles na Dalot ni wazuri kiasi tofauti na Shaw na AWB..but bado hawajafika level tunayoitaka.
✓Maguire,Sancho,Rashford,Shaw on the bench..waingereza na media zao moto utawaka very soon.
✓Ralf Rangnick kumuelezea Ronaldo kwa nini amemfanyia substitution ni ujinga mtupu..alitaka nani atoke??..huu ni udhaifu.