Kwa tunaojua mpira hatulaumu kocha
Hii timu imefanya sajili mbovu katika kipindi cha miaka mi3 ya Ole

Hatuna wachezaji wa kushindana kwenye level ya juu ndo maana hata baadhi ya makocha wanakataa kuifundisha hii timu.
Ronaldo Sancho, Kavani,Bruno, Varane wote wa hivyo.
 
Kiufupi nimekata tamaa ya kuingia big4 tunashinda mechi 2 ya tatu tuna boronga nimekata tamaa ya kila kitu msimu huu sioni timu tutayoitoa pale juu.
ally pipi kama ally pipi.

Nakumbuka ulisemaga Chelsea ikibeba yuefa utatupa wewe na mke wako
 
Peter Drury:"Manchester united is the most consistent team, one win in August_, one win in September,one win in October, one win in November, _one win in December. its just like a_menstrual cycle!! if they don't win in January know that they are pregnant"
 
Peter Drury:"Manchester united is the most consistent team, one win in August_, one win in September,one win in October, one win in November, _one win in December. its just like a_menstrual cycle!! if they don't win in January know that they are pregnant"
Dah😂 Peter Drury hapa kazidisha sasa!
 
carabao hawapo ,astonvilla atawavuta shati,man u asipookota point kwa hawa wadogo,ajiandae ana ratiba hapo mbele imeongozana big games plus ucl,
Yeah ni FA.

Ila zinafuata game nyepesi kwenye ligi ni vile tu mid table za sasa ni jeuri na nyingine zinathubutu kusema kuna timu wakikutana nazo lazima wapate point na mojawapo ya hizo timu ni united.
 
Mi nataka kujua hii formation yake ya 4-2-2-2 alishawahi kuitumia kwenye timu gani kabla hajaja united?
Na kama alishawahi kuitumia ilileta tija gani kwenye matokeo?
Asije kua huyu muhuni amekuja United kwa ajili ya kufanyia research hio formation yake ya Ngengemkeni
34AE33A8-862E-4F59-BC96-F25E85705723.jpeg
 
Peter Drury:

Manchester United is the most consistent team, 1 win in August, 1 win in September, 1 win in October, 1 win in November, 1 win in December...it’s just like a Menstrual cycle
 
Pamoja na yote kama Ralf anasema alimtoa Tuchel bar na kumfundisha coaching mi nakubali kwamba kweli Tuchel katolewa bar na kafundishwa na Ralf.

Kumpa timu Ralf ni kama kumpa timu Kashasha au wakina Neville kisa umevutiwa na ideas zao za namna gani timu itapata ushindi. Mashabiki wa united wana perepeche nyingi sana, kutokana na hilo walivyojua tu kocha ni Ralf hata hawakutaka kuangalia rekodi zake wakaja tu na stori za yeye kuwainfluence Tuchel na Klopp.

Turns out Ralf ni Bielsa wa kijerumani, stubborn, good at analysing football and formations but poor to average execution of ideas.

Standards zimeshuka siku hizi. Wanaifunga Burnley wanatembea nyuzi za watu kusumbua kudai Ralf ni kocha hakuna mwingine next game unakufa against Wolves unasema kocha ni lofa and what not.

Mimi napenda kwamba walianza kumfananisha Ole na Arteta sasa hivi wamehamia kwa Ralf na Arteta. Ngoja tuone.
 
from my observation, the number of players that are supposed to be offloaded is big, vyombo vya habari uingereza vinatuponza, eti the squad of many talented players kweli? I declare this team to have a lot of trash, tusipokuwa makini tutafukuza makocha wengi bila mafanikio
Afadhali Carrick angeendelea kuisuka hii timu.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom