42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
Second half ikaishaje?with high intensity just dont miss the second half.
fu*k you very much
Second half ikaishaje?with high intensity just dont miss the second half.
fu*k you very much
Ralf out Sosha InIs Rangnick really the top coach he is touted as being? Seems he has a few good ideas, but he doesn't seem to implement them in an effective way.
Mpaka waombe msamaha kwa hizo kauli zao ndio mambo yao yatanyooka.Wanakwambia huyu kocha alimtoa tumchel bar akamfundisha mpira na alimuokota klopu kwenye vilabu vya pombe akamfundisha gen gen pressing
Ronaldo Sancho, Kavani,Bruno, Varane wote wa hivyo.Kwa tunaojua mpira hatulaumu kocha
Hii timu imefanya sajili mbovu katika kipindi cha miaka mi3 ya Ole
Hatuna wachezaji wa kushindana kwenye level ya juu ndo maana hata baadhi ya makocha wanakataa kuifundisha hii timu.
ally pipi kama ally pipi.Kiufupi nimekata tamaa ya kuingia big4 tunashinda mechi 2 ya tatu tuna boronga nimekata tamaa ya kila kitu msimu huu sioni timu tutayoitoa pale juu.
Peter Drury:"Manchester united is the most consistent team, one win in August_, one win in September,one win in October, one win in November, _one win in December. its just like a_menstrual cycle!! if they don't win in January know that they are pregnant"
Dah😂 Peter Drury hapa kazidisha sasa!Peter Drury:"Manchester united is the most consistent team, one win in August_, one win in September,one win in October, one win in November, _one win in December. its just like a_menstrual cycle!! if they don't win in January know that they are pregnant"
Yeah ni FA.carabao hawapo ,astonvilla atawavuta shati,man u asipookota point kwa hawa wadogo,ajiandae ana ratiba hapo mbele imeongozana big games plus ucl,
Kwanini haujaleta?Tutawaletea, usijali.
Mi nataka kujua hii formation yake ya 4-2-2-2 alishawahi kuitumia kwenye timu gani kabla hajaja united?
Na kama alishawahi kuitumia ilileta tija gani kwenye matokeo?
Asije kua huyu muhuni amekuja United kwa ajili ya kufanyia research hio formation yake ya Ngengemkeni
@Castr hebu niamshie nyumbu zote zilizo lala mpaka sasa hivi.Kwanini haujaleta?
HahahahahaahahahahahahHukumuelewa vizuri alimaanisha tuna mkosi wa dunia ukijumlisha na formation ya Professor Ngengemkeni mitomingi matokeo yanakua kama hivyo ulivyoona.
Afadhali Carrick angeendelea kuisuka hii timu.from my observation, the number of players that are supposed to be offloaded is big, vyombo vya habari uingereza vinatuponza, eti the squad of many talented players kweli? I declare this team to have a lot of trash, tusipokuwa makini tutafukuza makocha wengi bila mafanikio