Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425


Chuchunge Fc wakishinda mechi mbili, tatu wanakua na midomo kwelikweli halafu wakigongwa game moja wanapotea wote.Walivyogongwa na Villa walitulizana kama vile wapo kwenye eda



wamebahatisha mechi mbili false hope ya ubingwa imewarudia yaani hatupumui, Tukisha wagonga OT ndio mtapotea moja kwa moja mpaka msimu ujao dirisha la usajili likifunguliwa




OFFICIAL: Kobbie Mainoo's goal vs Liverpool has been nominated for April Premier League goal of the Month.



