mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,698
- 9,051
Kwa maoni yangu cavani na ronaldo ni liability tunahitaji watu wq kazi wenye speed na kasi kubwa ambao wataleta tishio kwa mabeki sio sasa rashford akili ya mpira hana kati bado hatujapata watu nyuma napo bado kifupi timu haiko sawa cha kushangaza hii timu michezaji inalipwa hela nyingi kazi haifanyi


