Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa maoni yangu cavani na ronaldo ni liability tunahitaji watu wq kazi wenye speed na kasi kubwa ambao wataleta tishio kwa mabeki sio sasa rashford akili ya mpira hana kati bado hatujapata watu nyuma napo bado kifupi timu haiko sawa cha kushangaza hii timu michezaji inalipwa hela nyingi kazi haifanyi
 
Kwa maoni yangu cavani na ronaldo ni liability tunahitaji watu wq kazi wenye speed na kasi kubwa ambao wataleta tishio kwa mabeki sio sasa rashford akili ya mpira hana kati bado hatujapata watu nyuma napo bado kifupi timu haiko sawa cha kushangaza hii timu michezaji inalipwa hela nyingi kazi haifanyi
Hamna wachezaji tena!
Si mlitamba kwa mbwembwe nyie na mkasema ronaldo sasa ni man utd
 
✓Vibabu viwili kule mbele..

✓Vitoto viwili vya kiingereza on flanks ambavyo vinacheza sometimes kama vitoto vya darasa la kwanza

✓Right back wa hovyo kabisa kuvaa jezi ya Manchester United.

✓Impotent midfielders...Too inconsistent.

✓Captain mlevi

✓Kocha maneno mengi.

Hii timu hii itatuua.
 
Kwa maoni yangu cavani na ronaldo ni liability tunahitaji watu wq kazi wenye speed na kasi kubwa ambao wataleta tishio kwa mabeki sio sasa rashford akili ya mpira hana kati bado hatujapata watu nyuma napo bado kifupi timu haiko sawa cha kushangaza hii timu michezaji inalipwa hela nyingi kazi haifanyi
Sijui ni kwa nini watu hawalioni hili..

Cavani na Ronaldo ni mizigo...nitashangaa sana kama msimu wa 2022/2023 watabaki.
 
✓Vibabu viwili kule mbele..

✓Vitoto viwili vya kiingereza on flanks ambavyo vinacheza sometimes kama vitoto vya darasa la kwanza

✓Right back wa hovyo kabisa kuvaa jezi ya Manchester.

✓Impotent midfielders...Too inconsistent.

✓Captain mlevi

✓Kocha maneno mengi.

Hii timu hii itatuua.
Wacha bwana
Kutoka kuwa na wachezaji bingwa hadi kuwaita vibabu,vilevi std1
Hahahahahahahh!!!!nacheka kwa furaha
 
Mwakani hatuchezi Uefa champions league.....

Kocha anatudanganya anasema anahitaji control ya mchezo lakini anachezesha namba 6 wawiki kweli?? Angalia man city na liver wanacheza viungo 3 tena hapo kiungo mkabaji mmoja tu....

ila sisi jamaa kakazana na viungo wakabaji 2, alafu analeta habari za kucontrol game....number 10 wawili ambao wanacheza kama 10 na pia kama winga ni idea ngumu sana na hata haieleweki maana muda mwingi unaona namba 10 ipo wazi haina mtu....

Pia kocha anabahatisha hadi aibu, kule mbele kwanini anachezesha striker wawili wakati hata possession ya mpira hatuwezi, kwanini asitengeneze pattern nzuri ambayo itasaidia steiker mmoja kupewa nafasi za kutosha na kufunga...
Tulia kwanza tufanye gengeni presi ushindi badae

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Man kama Man
20220104_084859.jpg
 
Mwakani hatuchezi Uefa champions league.....

Kocha anatudanganya anasema anahitaji control ya mchezo lakini anachezesha namba 6 wawiki kweli?? Angalia man city na liver wanacheza viungo 3 tena hapo kiungo mkabaji mmoja tu....

ila sisi jamaa kakazana na viungo wakabaji 2, alafu analeta habari za kucontrol game....number 10 wawili ambao wanacheza kama 10 na pia kama winga ni idea ngumu sana na hata haieleweki maana muda mwingi unaona namba 10 ipo wazi haina mtu....

Pia kocha anabahatisha hadi aibu, kule mbele kwanini anachezesha striker wawili wakati hata possession ya mpira hatuwezi, kwanini asitengeneze pattern nzuri ambayo itasaidia steiker mmoja kupewa nafasi za kutosha na kufunga...
Hatuna hao wachezaji wa kutengeneza iyo pattern anayotaka kocha...
 
Tumefungwa ila muelekeo umeonekana


Nawaza tu miaka mitatu huko kambini sosha alikua anafundisha nini kaacha timu ambayo haina muunganiko kabisaaa...
Man U hata aje kocha gani, hakuna wachezaji pale.. mtu kama Wan Bissaka sijui anakupa kitu gani yani, krosi hawezi, kuturn shida.. msimu ushaisha kwa Man u wafanye kuangalia tu kuangalia sajili za msingi za kufanya na kuoff load mizigo iliyojazana pale
 
Back
Top Bottom